Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

Nimekuelewa!! lakini onyo ni hili! SSH ataondoka saa nusu hakuna jeshi wala TISS watakawaweza wale majamaa! Hebu ajaribu tu kufikiria halafu ijulikane tu! SIYO kuandika wala kutenda!
Usipate shida tutawabeba kwa mabasi ya hifadhi!
Au mnataka kwenda Msomera kwa magari yenu?
MaVogue,V8,Cayene, maPrado!!
Mlima Kilimanjaro lazima utunzwe!
 
Marifi yapfo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…