Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Wataanza vilevile kubaguana huyu wa rombo huyu sijui wa machame etc. Shauri yao🙂Watatosha vizuri tu. Unajua watu wote duniani wanaweza kuishi ndani ya Tunisia na wasikanyagane?
Kilimanjaro ni pakubwa sana. Hata wakirudishwa wote hawatafikia population density ya Bangladesh
Na mlima mmeuza sio!!You're right
Msomera si kuzuri!Tupo...
Tumeanza kulinda mipaka tayari...
Hali siyo shwari🤣
Usipate shida tutawabeba kwa mabasi ya hifadhi!Nimekuelewa!! lakini onyo ni hili! SSH ataondoka saa nusu hakuna jeshi wala TISS watakawaweza wale majamaa! Hebu ajaribu tu kufikiria halafu ijulikane tu! SIYO kuandika wala kutenda!
Karibu sana mshauri afikiri tu kesho! kama hatavuka bahari kwa miguu!Usipate shida tutawabeba kwa mabasi ya hifadhi!
Au mnataka kwenda na magari yenu? MaVogue,V8,Cayene, maPrado!!
Mlima Kilimanjaro lazima utunzwe!
Matulu yao
Hiyo ni mawazo ya watu wapuuziWataanza vilevile kubaguana huyu wa rombo huyu sijui wa machame etc. Shauri yao🙂
Matulu vaa vyarumu.A
Matulu yao
Nimeshakuambia shauri yao😎😎😎Hiyo ni mawazo ya watu wapuuzi
Hahahahaha, mnaturingishia na lugha yenu ,eeh🤣🤣🤣🤣Siyo kubwa
Marifi yapfo!View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Kwanini wasihamie Kizimkazi?Wanakuja kuangalia hicho kivutio wakisikia hayo unayoyasema hwawezi tena kuja; watakiita Blood Mountain, siyo Kilimanjaro tena. Mwambie Bi Kidude asikie; waarabu hawaji kuona huo mlima
Nawewe ni Lord wamalofa kuamini nnachokiandikaMawazo ya kilofa kabisa
Ova
[emoji1787]Wivu tu kupenda pombe kuna ubaya gani[emoji16][emoji16][emoji16]
🤣🤣🤣🤣🤣 you dont want peace eeeh!