makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Nnayo mkuu najaribu kuipandisha hapa inagoma..Mwenye do for love 2pac plz aweke hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nnayo mkuu najaribu kuipandisha hapa inagoma..Mwenye do for love 2pac plz aweke hapa
Ninao nikutumie?.Mimi natafuta sana kibao cha Elimu ya Mjinga toka kwa Banza Stone.
Duuuuhhhhh,Hatar sana!LE TENANT DU TITRE wa JB Mpiana na Bendi yake nzima Kipenzi changu ya Wenge BCBG ambapo Mghani / Rapa kwa Kiswahili au Atalaku kwa Kilingala au Animateur kwa Kifaransa ninayempenda kuzidi maelezo na niliyechukua jina lake na kulitumia rasmi humu JamiiForums aitwae GENTAMYCINE ( majina yake halisi Pitshou Lisimo ) alifanya Kazi ya ajabu humu huku akisaidiana kwa karibu sana na Baba wa Marapa / Waghani wote Congo DR Tutu Caludgi ( majina yake halisi Yombo Lumbu ) na pembeni yao wakimtambulisha Rapa / Mghani Kijana kabisa ila bahati mbaya sasa hivi ameshatangulia mbele za haki CELLULAIRE Mokili Mobimba ( majina yake halisi Faustine Nzinga Yankobo ) Kwa mpenzi yoyote wa Nyimbo za Kikongo akiusikiliza huu Wimbo hasa sehemu ile ya Sebene lake nina uhakika hata akiwa anambaiolojia Mkewe au anabaiolojiwa na Mumewe ataacha Kwanza ili aserebuke nao kwani ni moja ya Wimbo mtamu na umejaa kila kitu huku Vyombo vyote vikitulia kabisa. Nautafuta sana mwenye nao aniwekee hapa tafadhali na nitamshukuru mno / sana tu.
Natafuta nyimbo ya Tutakukumbuka ya TID feat GK
Ikiwa audio itapendeza zaidi
Wewe nawe kujifanya mzee kifimbo cheza au faiza foxy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Natafuta wimbo wa TID feat GK unaitwa Tutakukumbuka.
Ikiwa audio itapendeza zaidi
Mm nataka nyimbo moja hivi ya "" TEDD MWANA ZANZIBAR "" "da unapopatikana basi niufuate huko
Wewe nawe kujifanya mzee kifimbo cheza au faiza foxy[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haya nitumie huo wimbo basi!!
Mm nataka nyimbo moja hivi ya "" TEDD MWANA ZANZIBAR "" "da unapopatikana basi niufuate huko
Ujanikwaza ila umenichekesha ha ha ha nimejikuta namkumbuka mzee kifimbo cheza[emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahaha, mkuu samahani kwa kukukwaza.
da jiko limenuna long time sana ha ha ha ha ha ukitazama sina kaazi nami nataka maitaaaji ukitazama sina pesaaa nyumbani jiko limenunaaaaNaomba mtu anisaidie hizi:-
1. Mama (original version) - King Crazy GK
2. Blah blah- Mr. Two
3. Nimesimama - Mr. Two
4. Jiko limenuna - Fanani (LWP)