Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wild child ya Enya au?Natafuta wimbo flani hvi wa huzuni huwa unaimbwa TBC kwenye kumbukumbu za walioga dunia
Anaitwa Chelea man, hatari sana hii kitu'Naomba unipende kama nilivyo mi msela' sikumbuki umeimbwa na nani
Ahsante sana mkuuMakassy Junior - Baba Paroko
Huu wimbo unaitwa Jully!Mwenzenu nimekumbwa na kimbunga
Si kimbunga cha upepo Bali kimbunga
Cha mapenzi mama
Toka siku ile ya kwanza nilipomuona
Msichana mrembo jully nilishindwa kujizuia nikamweleza wangu ukweli yakua
Nimpenda nae akanijibu jully asante kwakunipenda.dah wakuu hii ngoma hatari aliimba Bob ludara jina silijui nisaidieni niupate
kuna wimbo unaimba 'bora hayati nyerers bora mheshiwa mkapa mora weshimiwa mwinyi watamlilia Munguu"Yaani wewe ni Ngumbaru sana! Nini lengo la uzi huu? soma tena maelezo yako baada ya kufungua uzi huu!
Hakuna nyimbo nayoitafutaga nikaikosa hadi wimbo wa mussa ninao.
Natafuta ile tune inayopigwa na brass band pindi Rais akiapisha mawaziri, mabalozi au viongozi wowote.
pia hupigwa sana kwenye sherehe na dhifa za kitaifa.
Unaitwa CARRIBEAN BLUE-by EnyaNatafuta wimbo flani hvi wa huzuni huwa unaimbwa TBC kwenye kumbukumbu za walioga dunia
Dah, wapendwa,Nisaidie wimbo wa abdul misambano na raila khatibu ....niwe naweeee hadi milele ....nasema ukweliiii mpenzi ujueee ninavyo kughaaani............
Natafuta nyimbo ya vijana jazz inaitwa siri ya ndani.
Kuna sehemu mwishoni eti wanaimba “kwenye starehe Tinga Tinga limefikaje??” Sijui walikuwa na maana gani hawa Kina Banza
Kumbe na wewe unamjua Enya?, huyo mwanamama ana nyimbo tamu sana. May It Be.Zitakuwa playlist za mwanamama Enya