Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
"Ni nani huyo oh atasimama kama nehemia ahubiri neno...

Shambani mwa bwana ooh kuna mavuno, watenda kazi ni wachachee.."

Zamani huu wimbo tulikuwa tunausikia KBC radio kule kijijini kwetu natamani sana kuupata tena!
 
Mwenzenu nimekumbwa na kimbunga
Si kimbunga cha upepo Bali kimbunga
Cha mapenzi mama
Toka siku ile ya kwanza nilipomuona
Msichana mrembo jully nilishindwa kujizuia nikamweleza wangu ukweli yakua
Nimpenda nae akanijibu jully asante kwakunipenda.dah wakuu hii ngoma hatari aliimba Bob ludara jina silijui nisaidieni niupate
Huu wimbo unaitwa Jully!

Umeimbwa na Bob Rudala na Bendi nzima ya Inafrica
 
Nisaidie wimbo wa abdul misambano na raila khatibu ....niwe naweeee hadi milele ....nasema ukweliiii mpenzi ujueee ninavyo kughaaani............
Dah, wapendwa,

Mi natafuta wimbo wa Lovy Longomba, nafikiri unaitwa Amina (Sina hakika Na JINA LAKE). Ubeti mmoja unaimbwa "...kuchota maji pipa tanooo kutoka mtoniii, fikiri nitaweza vipii". Na kibwagizo kinaimbwa ".... Amina kipenzi changu Mimi sitaweza, agizo la wazazi wako linaniwia vigumu"

Nimeumiss sana kwa kweli.

Mbarikiwe sana wapendwa.

Glory to God
 
Back
Top Bottom