mnyaruu
Member
- Oct 4, 2017
- 94
- 72
Ilikua dongo kwa ali choki, yeye kwenye uzinduzi was album ya twanga alikuja na kijiko ( greda)Kuna sehemu mwishoni eti wanaimba “kwenye starehe Tinga Tinga limefikaje??” Sijui walikuwa na maana gani hawa Kina Banza