Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Inaitwa BeefNatafuta track ya Kalapina ambayo amewa-diss Dudu Baya,PFunk,Miraji Kikwete jina nimelisahau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa BeefNatafuta track ya Kalapina ambayo amewa-diss Dudu Baya,PFunk,Miraji Kikwete jina nimelisahau
Ya Mike T ni Nyaluland...Shukran sana mkuu!!
Kuna ngoma ya
Waswahili -Pengo
Mike Tee ft Lady Jay Dee jina la wimbo nmesahau ila ni ngoma yake ya mwanzo kabsa(kama sijasahau ilikuwa inaitwa bongoland)
Joh Makin -Dakika 90
Soneli -Posta (sina uhakika sana na jina la msanii)
Nyaluland ilikuwa iko vizuri sana..Ya Mike T ni Nyaluland...
Uko sawa Sonel ndo aliimba Posta
Pengo ya Waswahili moja ya ngoma bora sana toka kwa hawa jamaa
Kitambo sana broHilo namba mbili "Kama unataka kuja home" aisee. Daah
Ngoja nitaziwekaAsante sana mkuuNyaluland ilikuwa iko vizuri sana..
Sonel -Posta...jamaa alikuwa ana aflow flan hv,,
Pengo ya Waswahili
Kama unazo mkuu,,share hapa
Niaje broHip Hop
SawaKiongoz samahan,naomba unitumie tena wimbo wa solo thank,simu yangu.Simu tangu ilizingua na ile IPO kwenye Ile simu.Nitumie wasap 0625-789 736
Kwema sana bro naona utamaduni unadumishwa pande hiziNiaje bro
Kama kawa bro,tupa hapa kusimamisha nguzo za utamaduniKwema sana bro naona utamaduni unadumishwa pande hizi
Au Msela wako na Kr Mulla piaKuna goma moja la kibabe Ngwair{RIP} alimshirikisha Juma Nature bahati mbaya nimesahau verse na chorus ila hapa napoandika beats zake zinanijia kichwani ila kuuelezea zaidi kwa ufasaha nashindwa ila beat lake likitaka kufanana na beat la Shock Ones la Mobb Deep naomba mwenye nayo hii ngoma anipe link.
Thanks in advance wakuu.
Kipindi hiko nauli mia hamsini mwanangu,these days aahhh acha kabisa.Kitambo sana bro
Kitambo sana mzee,,uzuri wa hz nyimbo zna muda mrefu sana,,lkn maudhui yake tunayaish hii leo,,,hawa jamaa waliona mbali sanaKipindi hiko nauli mia hamsini mwanangu,these days aahhh acha kabisa.