Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,437
Inaitwa maria au tabia??jaman naomben link ya nash mc nyimbo inaitwa maria...nimetafuta sana paipo mafanikio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa maria au tabia??jaman naomben link ya nash mc nyimbo inaitwa maria...nimetafuta sana paipo mafanikio
mbuka mkuu, noma inaitwa tabiaInaitwa maria au tabia??
Inaitwa maria au tabia??
Nash Emcee - Tabia Produced by Daz Naledge | Ngomanagwayah nimekumbuka mkuu, ngoma inaitwa tabia
mkuu shukran, ngoma hii huwa inanikosha sana
Daaah nikombaliKuna ngoma moja ya songa na ghetto ambassador.
Songa ana chana " duke anasema songa unaandika ka sean P"
Siijuagi jina na nili download nyimbo zao zote bila mafanikio kuipata.
Mwenye nayo asaidie hata jina tu.
Pamoja bro!mkuu shukran, ngoma hii huwa inanikosha sana
Safi sana, iyo ngoma nishaitafuta sana. Ntakukumbusha.Daaah nikombali
Na kompyuta mpakato nitakuwekea Baadae
Usijali mkuuSafi sana, iyo ngoma nishaitafuta sana. Ntakukumbusha.
Pamoja.Usijali mkuu
Jamaa ngoma zao karibia zote ninazo
Nipe jina la wimbo basi, kama umeunderstandKweli fani za watuu
mkuu Vip Mademu wa leo ya Mr Nico ft Hajibon...unayo??Usijali mkuu
Jamaa ngoma zao karibia zote ninazo
Hilo namba mbili "Kama unataka kuja home" aisee. Daah
Pamoja.
Sio ile ya "mtoto wa jakaya"Kuna goma moja la kibabe Ngwair{RIP} alimshirikisha Juma Nature bahati mbaya nimesahau verse na chorus ila hapa napoandika beats zake zinanijia kichwani ila kuuelezea zaidi kwa ufasaha nashindwa ila beat lake likitaka kufanana na beat la Shock Ones la Mobb Deep naomba mwenye nayo hii ngoma anipe link.
Thanks in advance wakuu.