Ha ha ha sijui kwa nini siku zote huwa naamini Hashim ni overrated artist. Sifa apatazo hastahili,na hakuna kikubwa alichofanya kwenye bongo hiphop zaidi ya kuongelewa sana baada ya kutoa wimbo Wa tunasonga
Kama unaamini Hashim alisikika kwenye Tunasonga tu nakusikitikia sana mkuu kwa kukosa ladha na mashairi konki ya huyu mwana Hip Hop OG ambaye Mimi binafsi sijaona wakumfananisha nae hapa TZ mpaka sasa.

Nikipata muda ntaandaa collection ya tracks zake niweke hapa kwa ajili ya wadau wengine waweze pata kusikia alichofanya jamaa kabla yakuachana na muziki ingawa Nyimbo nyingi za huyu mtu anatumia lugha za mtaani (matusi) moja ya sababu kubwa inayopigwa redioni ni Tunasonga tu.
 
Mwenye ngoma yeyote ya jamaa anaesadikika kua ndio msanii bora wa muda wote katika hiphop ya Bongo (Hashim dogo) aweke humu tumsikie

Nitafurahi kama wadau wengine wakiendelea kushusha tracks za Hashim hapa.
 

Attachments

Ubarikiwe sana mkuu!!hz ngoma zmekuwa adimu sana mtaan hadi kwenye radio statio
 
Rado - Hukumu ndotoni

Watengwa (Hardcore unit) - Tabia mbaya

Joh Makini - Muda & Dakika 90
 
Nimeukumbuka aisee,2002/2003 hii kipindi hiko ukiwa na elf5 ukila kwa anasa sana huimalizi,yaani bado shilling ilikuwa na nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…