πππππ
Sikutaka ni-comment chochote zaidi ya kushusha vyuma chakavu tu ila kwa comment yako hii imenifanya ni-comment na nimejikuta nafurahi tu mkuu.
πππππ
Ngoja nikupe zawadi, waskilize kaka na dada aisee. ENJOY.
Habari mkuu.
Vyuma vingine hivi hapa navihitaji tafadhali.
1.JumaNature_Hili gemu
2.Gk ft F.A_Hii Leo
3.AY_Raha tu
4.Banza stone_Mshenga wangu naomba nikutume.
Fanya kweli mkuu.
Shukrani.
Habari za Sasa mkuuUnataka wimbo gani?
Msaada wa nyimbo iliyoimbwa na bushoke christina
siku nzuri inavyokwenda by dani msimamo na mpiga debe by mzimuni family na q-chief
Habari za Sasa mkuu
Tafadhali mkuu hizi nyundo naziomba.
1.Gk ft Mwana F.A_Hii Leo
2.AY_Raha tu
3.Banza stone_Mshenga wangu naomba nikutume.
Naomba kuwasilisha mkuu.
Shukrani.
Huyu gwankaja noma sana.I salute to you siwezi kulisahau hili shukran
Unataka wimbo gani?
kuna wimbo nimefeli kuwa nao ni wa dark master unaitwa *nimepamiss home* aisee mtandaon haupo kama kuna mtu anao tafadhali saana
Shukrani mkuu...barikiwa pia!!Huyu gwankaja noma sana.
Kwakweli mkuu wewe uko tofauti sana na wengine
Mungu akubariki sanaaaa.
Nash g mambo bado pia naomba wa o ten voice mail Na wa viraka f.t q jay unaitwa niambie ukweli pia steve rnb unaitwa msamaa una maadhi ya rege nadhan ndio wimbo wake wa kwanza kuutoa baada ya kushirikishwa na mr blue kwenye tabasamu.nawasilisha
Shukrani mkuu...barikiwa pia!!