Mfalme Daud
Senior Member
- Feb 3, 2012
- 170
- 125
Nadhani upo youtube, kama hujaukuta mininaoUnaitwa ASU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani upo youtube, kama hujaukuta mininaoUnaitwa ASU
Ukiupata huu wimbo nitag mkuu, mim nilikuwa nao kwenye cassette, na kuna wimbo pia unaitwa "nasikitika kunitosa" (sina hakika na jina) pia una remix yake upo kwenye hiyo album nautafuta piaKwa vyovyote wa Afande Sele ulikuwepo kwenye album ya darubini kali.
Walikuwa wanampiga kijembe Ali Choki. Kama unakumbuka kuna siku wakati wa uzinduzi wa albam ya Twanga Pepeta aliingia na Tinga tingaKuna sehemu mwishoni eti wanaimba “kwenye starehe Tinga Tinga limefikaje??” Sijui walikuwa na maana gani hawa Kina Banza
The late captain John Komba - Wimbo MGENI
Ninao naona aploding inazinguaNautafuta "Nyeti" uliimbwa na Wagosi wa kaya
Ninao hata youtube upo. Tunashindwa namna ya kuaploadMwenzenu nimekumbwa na kimbunga
Si kimbunga cha upepo Bali kimbunga
Cha mapenzi mama
Toka siku ile ya kwanza nilipomuona
Msichana mrembo jully nilishindwa kujizuia nikamweleza wangu ukweli yakua
Nimpenda nae akanijibu jully asante kwakunipenda.dah wakuu hii ngoma hatari aliimba Bob ludara jina silijui nisaidieni niupate
Naomba unitag kama umepata hizo nyimboNitafurahi nikipata nyimbo hizi zifuataz0
Rafiki - Mr Nice
Wachumba 30 - John Mjema
Nasonga Mbele - V2
Baby Gal - Mad Ice
Sintobadilika - Mike Tee
Maisha ya Boarding - Jay Moe
Jela - LWP
Nani kauona Mwaka - Sikinde
Aisee nimeupata huu wimbo, huu wimbo sele aliimbaKwa vyovyote wa Afande Sele ulikuwepo kwenye album ya darubini kali.
Poa ukiweza nisaidie tafadhaliNinao naona aploding inazingua
Unaitwa Julie... naukubali sana huu wimbo pia, nilisota kuupata!ngojaga nakwinhe ong'wiseMwenzenu nimekumbwa na kimbunga
Si kimbunga cha upepo Bali kimbunga
Cha mapenzi mama
Toka siku ile ya kwanza nilipomuona
Msichana mrembo jully nilishindwa kujizuia nikamweleza wangu ukweli yakua
Nimpenda nae akanijibu jully asante kwakunipenda.dah wakuu hii ngoma hatari aliimba Bob ludara jina silijui nisaidieni niupate
Huu?