muhamar Gadaf
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 1,101
- 1,050
Mwenye nyimbo zote za kongo BCBG
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YouTube ipoNatafuta Msondo namba moja mpaka tano
Ha ha ha ila hakikimbiliki kweli ndugu!Mkuu sikapendi haka kawimbo....ingekuwa vita marehemu angekimbia
Victoria EleysonKuna wimbo wa kicongo miaka ya 90 unakibwagizo KIDEKULEEE EIMAAMA KIDEKULEEE sijui kaimba nani nautafuta sana
Alikuwa na bifu na ally choki na walikuwa wanarushiana sana vijembe. Kuna uzinduzi flani Wa album ya twanga Choki aliingia na buldoza au katapila ukumbini diamond jubilee kama sikosei ikiwa ni staili yake, ndipo banza akatandika dongo kwenye wimbo Wa Tot uliofata.Kuna sehemu mwishoni eti wanaimba “kwenye starehe Tinga Tinga limefikaje??” Sijui walikuwa na maana gani hawa Kina Banza
Huo Wa kwanza ni Wa Suma Lee unaitwa 'rafiki' nipatapo fursa ntauweka na ule Wa mpiga debe kuna mdau kaulizia manake haupo kwenye simu na PC sinayo hapaMimi natafuta nyimbo mbili lakini sijui zinaitwaje na wala kaimba Nani.mmoja una kipengele kinaimbwa_ Mjini umekuja juzijuzi kwenu ulikuwa unafuga mbuzi.sikujua kuwa ni nuksi mpenzi umemkuwadia mdosi._mwingine kuna kipengele kiko hivi= Hoi hoi hoi mimi naliaa Hoi hoi hoi parapanda italia. Yaani nazitafuta sana
Duu huo mama tena original version nilishashindwa kuupata aseehizi nazitafuta sana hasa mama wa G.K pia fanani wa HBC ya kina prof. j
Mnaojua jina la wimbo na msanii alieimba ingieni Google au YouTube acheni uvivuNatafuta wimbo wa king zillah - my life
Darassa - weka ngoma
Kakolele ni wa krismass
Hao ni kleptomaniax na hiyo verse kama sikosei ni ya Nyanshisky wimbo waitwa 'tuendelee' ntaweka nikiwa na PC yangu cnao kwa cmNa huu mwenye nao atuwekee, siujui jina ila jamaa anaimba
"Wanamangana Kila siku Kama mambuzi" ni mkenya huyu jamaa
Yaani We jamaa usiponitaja hujisikii rahaHakuna nyimbo nayoitafutaga nikaikosa hadi wimbo wa mussa ninao.
amani by mch. Abiudikuna wimbo unaimba 'bora hayati nyerers bora mheshiwa mkapa mora weshimiwa mwinyi watamlilia Munguu"
sijui jina lake
Hyo jiko limenuna cyo Wa zigzag crew kweli?da jiko limenuna long time sana ha ha ha ha ha ukitazama sina kaazi nami nataka maitaaaji ukitazama sina pesaaa nyumbani jiko limenunaaaa
huu?