Kuna charanga moja enzi za mabasi ya bara pale Kisutu inaitwamwanameka ipoooo
 
Wimbo walokua wanautumia kwenye tamthilia ya Bongo Daresalam anitumie
 
Mkuu KIOO kuna ngoma moja ya wagum fulani wa zamani early 2000s bahati mbaya jina lao sijalikamata ila naikumbuka chorus inasema "TWENDE KAZI WATU WAJUE NANI M'BAKIAJI,TWENDE KAZI WATU WAJUE NANI M'BAKIAJI,TWENDE KAZI YOO×2",pia ktk verses kuna mmoja wao ana-rap kisha anafanya kama kufyonza hivi.....

Sijui kama maelezo yameeleweka ila naomba kama utaweza kuunga unga dots uipandishe hiyo ngoma hapa.
 
 

Attachments

Kuna rap/bongo flavor moja ya kinyaturu iliimbwa zamani sana naitafuta🙂 Siikumbuki inaitwaje
 
 

Attachments


Hizo lyrics zinakuja zinatoka unaweza kuongezea mistari kidogo au mtu yoyote aliyepo kwenye hiyo ngoma humkumbuki aisee...?

Try to remember bro. Thanks.

👊🏽
 
Bonus Traxx.
 

Attachments

Hizo lyrics zinakuja zinatoka unaweza kuongezea mistari kidogo au mtu yoyote aliyepo kwenye hiyo ngoma humkumbuki aisee...?

Try to remember bro. Thanks.

[emoji1420]
Ngoja niijaribu kufikirika mkuu nitarudi.
 
Hizo lyrics zinakuja zinatoka unaweza kuongezea mistari kidogo au mtu yoyote aliyepo kwenye hiyo ngoma humkumbuki aisee...?

Try to remember bro. Thanks.

[emoji1420]
Mwenyewe zinakuja zinapotea... ilikuwa kama crew hiv
 
Ras Six-Sina Pamba

BM ft Marlaw-Nambie Ulipo

Davy Zinda-Kasoro

Mrembo K town people...

Afande Sele-Afande Anasema

PNC ft Chelea man-Naumia

kuna mwingine chorus inaimba "We nenda tu we nenda tu...
Moyoni ulinichoma... ondoka ww nenda usije niletea ngoma ooh"... humo ndan kuna jamaa kaimba kigumu sana, wimbo nafikiri unaitwa Nenda ila wasanii siwakumbuki!!

Wakuu mwenye hizi anisaidie...
 
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…