Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna charanga moja enzi za mabasi ya bara pale Kisutu inaitwamwanameka ipoooo
 
Wimbo walokua wanautumia kwenye tamthilia ya Bongo Daresalam anitumie
 
Mkuu KIOO kuna ngoma moja ya wagum fulani wa zamani early 2000s bahati mbaya jina lao sijalikamata ila naikumbuka chorus inasema "TWENDE KAZI WATU WAJUE NANI M'BAKIAJI,TWENDE KAZI WATU WAJUE NANI M'BAKIAJI,TWENDE KAZI YOO×2",pia ktk verses kuna mmoja wao ana-rap kisha anafanya kama kufyonza hivi.....

Sijui kama maelezo yameeleweka ila naomba kama utaweza kuunga unga dots uipandishe hiyo ngoma hapa.
 
Mwana fa na fid q ft berry black sijui inaitwaje kunasehem fid anasema

"Nikisimama sidondoki...//

Napenda unavyonitania eti nimechanjia dodoki...//

Mexicana lacavela Ngoma inaitwa lunduno

Baghdad anamchana Nikki mbishi

"Ukinishinda Kwa bato basi nitakupa bato...//
 

Attachments

Kuna rap/bongo flavor moja ya kinyaturu iliimbwa zamani sana naitafuta🙂 Siikumbuki inaitwaje
 
NARUDI KWA OMBI LINGINE SABABU KWA SISI WA ENZI HIZO TUKISIKILIZA HIZI NGOMA TUNAKUMBUKA MAMBO MENGI SANA.
1: NAOMBA NGOMA YA GHETO MSOTO YA CHEMBA SQUAD
2: UNIQUE SISTERS - MAKE YOUR BUMS
3: BIRTHDAY YA HK - YA HK
4:BORA UOMBE MAUTI - YA FAGIO LA CHUMA.
5: BLACK SKULL - BALAA
6; MAMA MWENYE NYUMBA - GWM

MTANIVUMILIA SANA KWA MAOMBI MENGI YA HIZO NYIMBO ILA NAJUA WENGI TUNAZIPENDA ILA TULIZISAHAU TU MAJINA.
 

Attachments

Mkuu KIOO kuna ngoma moja ya wagum fulani wa zamani early 2000s bahati mbaya jina lao sijalikamata ila naikumbuka chorus inasema "TWENDE KAZI WATU WAJUE NANI M'BAKIAJI,TWENDE KAZI WATU WAJUE NANI M'BAKIAJI,TWENDE KAZI YOO×2",pia ktk verses kuna mmoja wao ana-rap kisha anafanya kama kufyonza hivi.....

Sijui kama maelezo yameeleweka ila naomba kama utaweza kuunga unga dots uipandishe hiyo ngoma hapa.

Hizo lyrics zinakuja zinatoka unaweza kuongezea mistari kidogo au mtu yoyote aliyepo kwenye hiyo ngoma humkumbuki aisee...?

Try to remember bro. Thanks.

👊🏽
 
Bonus Traxx.
 

Attachments

Hizo lyrics zinakuja zinatoka unaweza kuongezea mistari kidogo au mtu yoyote aliyepo kwenye hiyo ngoma humkumbuki aisee...?

Try to remember bro. Thanks.

[emoji1420]
Ngoja niijaribu kufikirika mkuu nitarudi.
 
Hizo lyrics zinakuja zinatoka unaweza kuongezea mistari kidogo au mtu yoyote aliyepo kwenye hiyo ngoma humkumbuki aisee...?

Try to remember bro. Thanks.

[emoji1420]
Mwenyewe zinakuja zinapotea... ilikuwa kama crew hiv
 
Ras Six-Sina Pamba

BM ft Marlaw-Nambie Ulipo

Davy Zinda-Kasoro

Mrembo K town people...

Afande Sele-Afande Anasema

PNC ft Chelea man-Naumia

kuna mwingine chorus inaimba "We nenda tu we nenda tu...
Moyoni ulinichoma... ondoka ww nenda usije niletea ngoma ooh"... humo ndan kuna jamaa kaimba kigumu sana, wimbo nafikiri unaitwa Nenda ila wasanii siwakumbuki!!

Wakuu mwenye hizi anisaidie...
 
Ras Six-Sina Pamba

BM ft Marlaw-Nambie Ulipo

Davy Zinda-Kasoro

Mrembo K town people...

Afande Sele-Afande Anasema

PNC ft Chelea man-Naumia

kuna mwingine chorus inaimba "We nenda tu we nenda tu...
Moyoni ulinichoma... ondoka ww nenda usije niletea ngoma ooh"... humo ndan kuna jamaa kaimba kigumu sana, wimbo nafikiri unaitwa Nenda ila wasanii siwakumbuki!!

Wakuu mwenye hizi anisaidie...
 

Attachments

Back
Top Bottom