Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Shukrani mkuu ndo wenyewe.Unamaanisha huu...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuu ndo wenyewe.Unamaanisha huu...?
Tumeweka hapa karibua nusu ya album za Mr II. Pekua kuanza kurasa za 150 na 160wakuu mwenye album za mr II sugu zote kama zikitupiwa itakua burudan sana
Huu hapa man. Enjoystella/njoo wa chege.....daah hiki chuma nakitafuta kila mahala sijakinyaka
Lady JD nishike mkono, huu hapaNaomba nyimbo usikatae akikuita ya jd na wengine,pia nishike mkono ya jd na mad ice alafu na amri kumi za mungu ya dudu aka konki master
Ahsante mkuuLady JD nishike mkono, huu hapa
Imewekwa juzi humu. Ipo hapo juu. Angalia kuanzia ukurasa wa 186. DownloadNaomba ngoma ya Caz T mwana wa komba -One more chance,,yupo na demu flan hv,,,dah naihitaj sana hii ngoma
Imewekwa juzi humu. Ipo hapo juu. Angalia kuanzia ukurasa wa 186. Download
Kaka nmeipata tayali,,,pia Maimatha alitoa ngoma moja hv ilikuwa inaitwa I hate u ,,kama wanachibizana na mwanaume flan hv,,Imewekwa juzi humu. Ipo hapo juu. Angalia kuanzia ukurasa wa 186. Download
Huyo Ni Soggy Na Dataz....Ngoja NiichekKaka nmeipata tayali,,,pia Maimatha alitoa ngoma moja hv ilikuwa inaitwa I hate u ,,kama wanachibizana na mwanaume flan hv,,
Dem anajbu i hate u,jamaa anajbu i love u
HII NGOMA NINAYO ILA KUIPANDISHA HAPA NDIO SIWEZIKaka nmeipata tayali,,,pia Maimatha alitoa ngoma moja hv ilikuwa inaitwa I hate u ,,kama wanachibizana na mwanaume flan hv,,
Dem anajbu i hate u,jamaa anajbu i love u
Poa poa mkuu,,ntashukuru sanaHuyo Ni Soggy Na Dataz....Ngoja Niichek
Aisee,,poa mkuu ngoja wadau wafanye mambo hapaHII NGOMA NINAYO ILA KUIPANDISHA HAPA NDIO SIWEZI
UNAITWA SIKUTAKI TENA WA DATAZ FT SOGGY DOGY.
Nimeziona na ninazo.poromesheni mazaga mengne kama deiwaka nkTumeweka hapa karibua nusu ya album za Mr II. Pekua kuanza kurasa za 150 na 160
Nimeziona na ninazo.poromesheni mazaga mengne kama deiwaka nk
Wakuu mwenye nyimbo ya Nash mc mitihani naomba anisaidie ahsante
mimi ni zaidi ya msanii-yuko Geez Mabovu,fid q,Jay mo na wengine wengi,beat ya Lamar....aliyenayo anisaidie wazee