vuvunduli
Senior Member
- Jan 15, 2012
- 164
- 125
Aisee, yaani huu ndo' imeshindikana kabisa kupatikana wajameni..!!?
CC KIOO
gwankaja
Idimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ngoma ilitoka miaka ya 96 au 97 na iliimbwa na East African Melody... sauti moja balaa yake Zuhura Bint Shaabani. Hakuna Tenda Hakuna Buzi ndo jina la nyimbo kuna mistari anasema "Umebeba begi watafuta buzi..mchezo gani huo, wa kurudi nyuma huo wa kuruka ukuta" nadhani na ndipo neno la kuruka ukuta lilipoanza....Nimekuelewa mkuu.
Huu wimbo ninaoutafuta ulipigwa na East African Melody ya kipindi hicho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app