Yeeeeeees ofcoz man huu bila shaka ndio wenyewe, utupie mwananguAu umemaanisha tamara ya hard mad?
Rafiki wa suma LeeHuu ni rafiki
safi sana pia mimi natafuta wimbo wa hamorapa wa mwaka huu
Mkuu,hakuna wimbo nautafuta kama huo.Ushaupata?
Mpiga debe- Rap Nature & Q chief
Kama sijakosea ni hii
asante sana mkuu! kama una MOYO wa Dj Kata waweza nisaidia piahuu apa
Asante kiongozi.