CC. Kioo IdimuWakuu narudi tena......
Natafuta wimbo wa taal yaa habib uliombwa na Hashim Saidi akiwa na bendi ya east african taarab.
Nimeutafuta tangu 2009 bila mafanikio
Sent using Jamii Forums mobile app
Write your reply...msaada mwenye wimbo wa hbc ft mr ticha jina nimesahau na wimbo wa daz p aka bwana mkubwa _ sister duu kama unataka kuja home
Ndio wenyewe??Wakuu narudi tena......
Natafuta wimbo wa taal yaa habib uliombwa na Hashim Saidi akiwa na bendi ya east african taarab.
Nimeutafuta tangu 2009 bila mafanikio
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri ni huu.. Kama ni. Wenyewe niambie nikupe mp3 yenye qualityKuna wimbo umeimbwa na Q chief akiwa na Dada mmoja hivi kama sio mganda basi ni mnyarwanda. Hiyo Dada anaimba kilugha (sio kiswahili) kwenye sehemu ya kiitikio kuna mahali Q chilah anasema natamani nikupate nami moyo uridhike.
Kama kuna MTU ameifahamu nyimbo hii maomba Nina lake tu nitaitafuta
Mzee kama audio ipo karibu tumaNafikiri ni huu.. Kama ni. Wenyewe niambie nikupe mp3 yenye quality
Wanaitwa BDP (Big Dogg pose) wimbo unaitwa Rudi MpenziNajaribu kuvuta ila haiji.. Ila wimbo nafikiri ninao!!
Hukumbuki jina la msanii??
Ditto - Tushukuru kwa yoteNatafuta wimbo flani wa kibongo ameimba mwanadada simjui jina lakini sauti ni kama ya linah...unaimba hivi..
"Mengi utasikiaaa wakisema usiyaweke moyoni , kukosea inatokeaaa mambo ya ndani usiyaweke hadharani!"
Mwenye jina lake anisaidie..nautafuta sanaaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
sitaki tena baba wanguMkuu Kuna wimbo umeimbwa kiswahili na General Defao , "kosa langu baba unihurumie , basolinaaa
Nafikiri ni huu.. Kama ni. Wenyewe niambie nikupe mp3 yenye quality
kubwa_Lao huo niliopost sio wenyewe? kujibu ni uungwana zaidi!Wakuu narudi tena......
Natafuta wimbo wa taal yaa habib uliombwa na Hashim Saidi akiwa na bendi ya east african taarab.
Nimeutafuta tangu 2009 bila mafanikio
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenye wimbo wa BAYO FT KOBA NA HUSSEIN MACHOZI JINA KAPUNI ANIWEZESHE
Gwankaja nikirudi kutoka katika mashimo ya mfalme suleimaan sintakusahau na huyu bwana mkuu kioo.
Niombeeni dua nirudi salama.
Usiwe na wasiwasi aisee tuko pamoja bro.
Tunakutakia safari njema kiongozi uende salama na urudi salama pia mkuu.
Thanks a lot.
ha ha poa mkuu... Mungu ni mwema utarudi salama tu!!