Mkuu Kuna wimbo umeimbwa kiswahili na General Defao , "kosa langu baba unihurumie , basolinaaa
sitaki tena baba wangu
Unihurumie eeh kabisa
Nilishakuwa muke ya watu
Siwezi tena kuruudi kwako
Kwani sikuona kitu ya lazimaa kwako
Koza wangu baba unihurumie
Wema wangu leo utajurisha
Sitaaki tena koza
Kama ni kuoa oa mwingine mie siwezi
Kama ni watoto fika kwetu koza
Utawaona utawaona
Usifike kwangu utaleta fujo na mpenzi wangu
wa sasa tulitaraka na wewe bira kuleta vitu kwetu
Tena nakuteswa Juu uniulumie
Ohkoozaa ohkooza
ilpaswa kwako kaka yangu nilikuvumilia ukweli
Kikombe moja kushona kushona na kuendelea koza wa baba
Kuona ni wewe kila mwezi na pesa yake wewe
Asubuhi na mapema birika ya chai ya maziwa
Ooh koza najenga mwili wangu
Usifikee kwangu koooza babaa
Kwani ni wewe wakunifukuza kwako
Sasa wananiona unanifata kwakuwa mzuri
Sent using
Jamii Forums mobile app