Nisaidiwe nyimbo 2
1. Je Utanipa - H Baba ft Pasha & Ester Wasila
2. Mwanamke kitenge - Mr Paul

asanteni
 

KIOO Idimi na mimi nautafuta wimbo huu
 
Mwenye nyimbo zifuatazo aniwezeshe
Naomba shilingi mia ya bizman
Usiku usiingie Mr zumo na raha ya upendo wa bizman
 
Wakuu naombeni wimbo wa watoto huwa unaimbwa kwenye redio flani hv katka kipindi cha watoto

Unaimbwa hv...

Watoto wasafi moyoni, ni nyota ya macho ya wazaz
Sisi ni maua tuliopendwa, na mungu mwenyezii.....Mwenye nao naomba anisaidie wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
natafuta wimbo flani hivi ukiitwa 'Zakaria' ikimaanisha dudu au mti ngozi . ulikuwa ni wimbo wa bongo fleva. Pia mwenye wimbo wa anti-virus original version aweke hapa
 
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…