clonazepam
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 247
- 281
Mimi natafuta nyimbo ya South Africa sijui imeimbwa na kina nani ila inasema
"Tala mapantulaa... Kitia matyotyaa.. Kitya matyotyaa... Saishobin nguluva...."
Nitafurahi sana kama ntapata hata link ya kuipata
Kuna wimbo Wa wakenya unaitwa DUMBALA nautafuta
Tehteh hiyo ni hiphop kuna mwingine unaitwa mbongo by kimbunga mkuu kioo tuletee hizi ngoma chief.
Wakuu kuna wimbo unaitwa mpira pasi bwana kaimba nyang'au mmoja wa dar anaitwa kimbunga mchawi,mwenye nao tafadhali atupie hapa nimsikilishe mkuu wa kitengo atoe pass.
Salute mkuu bado mpira pass by kimbunga.
Kazeze
Tumbo deni la dunia by uswahiliji matolaa
Kosa la marehemu
Na song fla i hivyo kuna mashairi kama “manka alikwepo mushi alikwepo” mangi flani hivi aliimba sikumbuki jina
mzee mkubwa nigawie hiyo namba 6'7'na9🙏🙏1. Miiko Kumi Ya Rap - GK. ✔️
2. Kama Unataka Kuja Home - Daz P
aka BWANA MKUBWA. ✔️
3. Fanani - FANANI. ✔️
4. Unanikumbusha Madem - CHIVALO. ❌
5. Majukumu - JAY MOE. ✔️
6. Kiraka Juu Ya Kiraka - COMPLEX. ✔️
7. Rusha Mikono Hewani - P FUNK. ❌
8. Tupo Town Maisha Kama Vitan - MAPACHA 50/50. ✔️
9. Yamenikuta - GWM. ✔️
10. Nawaza - CHINDO MAN. ✔️
11. Kipaaaa G - SJUI KAIMBA NANI HILI DUDE AISEE. ❌
mzee mkubwa nigawie hiyo namba 6'7'na9🙏🙏
Ali kiba
Song: My everything