Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Wakuu naomba nyimbo zifuatazo please;
DKNOB FT DULLY SYKES-HIVI KWANINI UNANIPENDA!?
D.KNOB FT KBASIL-NJOO TUCHEZE
MADEE FT MANDOJO -KAZI YAKE MOLA
IZZO B-PISHA NIPITE
IZZO B-NAKABA KOO
MADEE-CHEZA KIDOGO
AFANDE SELE-NILIE NA NANI!?
BLACK RHYINO-HAPPY
JPOP-TUNAKUPENDA
 

Attachments

Kioo na wengine Naomba nyimbo ;
1. Muache aendezake by Suma Lee
2. Mademu wa leo by Suma G ft Suma Lee
3. Vituko uswahilini by Suma G.
 
Wakuu naombeni nyimbo za Zayb
Sister p, roho saba.. Natanguliza shukran'. Asante
 
Wajuba naulizia nyimbo zifuatazo
1. Helena toka kwa kundi moja mkoani Morogoro likiitwa PEAPEA entertainment
2. Vitu adimu yake Madmax
3. Nakutamani yake mwanaApolo video queen alikuwa Mainda yule msanii wa bongo movie zamani
4. Machozi iliyompa jina Hussein machozi alirekodia tetemesha wakati huo yuko Kagera
5. Kapu la mjanja sikumbuki band ila humo ndani yupo Eddie Sheggy.
6. Akili za pombe muimbaji simkumbuki ila chorus alipiga Mr. Ebbo
7. nyimbo zote za Taarab alizoimba mwana mama mwanahela na coast modern taarab.
8. Maridadi sana huu wimbo uliimbwa na kanjibai mmoja kama song hivi.
9. Mkuraba mkuraba unamashauri gani ya matona.
10. Nyimbo za Tongolanga kwa mwenye nazo pia.
 
Wakutoa sadaka ulioimbwa wakati raisi yupo mbeya akikusanya sadaka mwenye nao pls
 
Back
Top Bottom