Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Habari wakuu.

ebana naomba wimbo flani hivi
kaimba NOORAH,RAY C na MWANA F.A
chorus kaimba RAY C ina sema,
KAZI RAHA VYOTE VINAENDA, PIGA KAZI UTAPATA RAHA.


gwankaja
idimi
kioo

natanguliza shukrani.
 
Mzee kuna nyimbo ya Nay wa Mitego, chorus inaimbwa " nilichopanga kufanya, ndicho mi ninachofanya,hakuna kupingwa bwana ndio maana mi nikajiita Maulana" tunaweza kupata hii!?
 
Shukran sana, ingawa nilikuwa nahtaji nyng zaidi.. Hasa za zay b na sister p..

Mwenye nazo ataniwasilishia hapa pamoja na za joslin wa wakali kwanza!
 
Bro KIOO kuna nyimbo nimekuomba za Izzo B pisha NIPITE na nakaba koo pls assist

Mkuu ntashusha zote usjali tatizo wiki 2 hizi sijatulia kabisa napita kwa juu juu sana hapa jukwaani.

Ila ntazishusha tu request zote sio, usjali mkuu.

Pamoja sana.
 
Wajuba naulizia nyimbo zifuatazo
1. Helena toka kwa kundi moja mkoani Morogoro likiitwa PEAPEA entertainment
2. Vitu adimu yake Madmax
3. Nakutamani yake mwanaApolo video queen alikuwa Mainda yule msanii wa bongo movie zamani
4. Machozi iliyompa jina Hussein machozi alirekodia tetemesha wakati huo yuko Kagera
5. Kapu la mjanja sikumbuki band ila humo ndani yupo Eddie Sheggy.
6. Akili za pombe muimbaji simkumbuki ila chorus alipiga Mr. Ebbo
7. nyimbo zote za Taarab alizoimba mwana mama mwanahela na coast modern taarab.
8. Maridadi sana huu wimbo uliimbwa na kanjibai mmoja kama song hivi.
9. Mkuraba mkuraba unamashauri gani ya matona.
10. Nyimbo za Tongolanga kwa mwenye nazo pia.
Wakuu vitu Adimu tuwekeeni.
Sorry naweka msisitizo
 
Back
Top Bottom