Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Mimi natafuta nyimbo ya South Africa sijui imeimbwa na kina nani ila inasema

"Tala mapantulaa... Kitia matyotyaa.. Kitya matyotyaa... Saishobin nguluva...."

Nitafurahi sana kama ntapata hata link ya kuipata
 
Kazeze
Tumbo deni la dunia by uswahiliji matolaa
Kosa la marehemu

Na song fla i hivyo kuna mashairi kama “manka alikwepo mushi alikwepo” mangi flani hivi aliimba sikumbuki jina
 
Kazeze
Tumbo deni la dunia by uswahiliji matolaa
Kosa la marehemu

Na song fla i hivyo kuna mashairi kama “manka alikwepo mushi alikwepo” mangi flani hivi aliimba sikumbuki jina
 

Attachments

1. Miiko Kumi Ya Rap - GK. ✔️
2. Kama Unataka Kuja Home - Daz P
aka BWANA MKUBWA. ✔️
3. Fanani - FANANI. ✔️
4. Unanikumbusha Madem - CHIVALO. ❌
5. Majukumu - JAY MOE. ✔️
6. Kiraka Juu Ya Kiraka - COMPLEX. ✔️
7. Rusha Mikono Hewani - P FUNK. ❌
8. Tupo Town Maisha Kama Vitan - MAPACHA 50/50. ✔️
9. Yamenikuta - GWM. ✔️
10. Nawaza - CHINDO MAN. ✔️
11. Kipaaaa G - SJUI KAIMBA NANI HILI DUDE AISEE. ❌
mzee mkubwa nigawie hiyo namba 6'7'na9🙏🙏
 

Attachments

Back
Top Bottom