Attachments

Tafadhali mwenye wimbo wa P FUNK MAJANI ft DULLY SYKES-FORGIVE ME aisee nmeutafuta kwa miaka mingi sana bila mafanikio
 
Asante mkuu, hivi hii "Kitu gani ya D-Knob" hauna ila Original version? Hii ni 2nd version nafkiri it was for radio.
 
Natafuta Nyimbo ya kwaya, Mara nyingi inapigwa kipindi cha maombolezo misiba.

"Maombolezo, maombolezo ya kilio.
Shetani atalia, maombolezo".


Kwa anaeifahamu au anayo kabisa naomba msaada.

Regard..
 
Naomba mnisaidie kupata wimbo ule wa UKIMWI alioimba Kapteni Komba.

Kwenye ile nyimbo kuna akina dada wanaitikia. Na sehemu nyingine Komba anaimba makaburini.
 
Aisee na mie leo naomba niombe wakuu.

Naomba ngoma 2 ya Chivalo_Unanikumbusha na ngoma ya kwanza ya Witness Wa Wakilisha kipindi anajiita Bad_Gear.

Natanguliza shukran. Thanks.
MKUU NISAIDIE NYIMBO ZA MBETELA SQUAD KAMA UNAZO
 
poleni wadau naomba msaada mwenye ile michezo ya kuigiza ya sauti ya zamani ya kina mzee pembe au kina uledi..nimekumbuka mbali sana
 
Wakuu kuna wimbo naukumbuka baadhi ya mashairi ila siujui jina... Nahisi unaitwa BABA JENI
Uliponipita kituo cha basi,. mimi na watoto na mvua inanyesha baba Jenieeehh
utaua watoto baba Jeni eeh

Wimbo mwingine ni
Pajero ya babaa yangu Flora,
nilipokuwa nikimtembeza Manyara na Ngoroongoro Flora mamaa

Nyimbo hizi hunijia kichwani mara kwa mara ila sizijui kwa majina. Naomba mwenye kuzifaham tafaadhali azitupie hapa🤝
 
Ütawezaje kutupenda wawili, nami najua una moyo mmoja"... Huu wimbo nautafuta sana
 
Bado sijaupata wimbo wa Kinanda kutoka kwa Benjamin wa Mambo Jambo mwenye nao anisaidie pls [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Natafuta Nyimbo ya kwaya, Mara nyingi inapigwa kipindi cha maombolezo misiba.

"Maombolezo, maombolezo ya kilio.
Shetani atalia, maombolezo".

Kwa anaeifahamu au anayo kabisa naomba msaada.

Regard..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…