Hebu na mimi mniwekee wimbo wa Jose Mtambo kama kuna mdau anao unaoimbwa "Heeya heee" (sina uhakika na jina la wimbo) Mimi ni shabiki wa nyimbo za hip hop za bongo.
 
Mkuu natafuta wimbo wa DACK MASTER -(Nimepamiss Home ) na wimbo msanii.mmoja wa siku.nyng anaitwa KUBU au KANYAMA wimbo unaitwa (Menu)
 
Mkuu asante mbili za unique sisters au zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…