Hahaha pamoja bro,much respect sana,nipo mzee,kila napopata muda lazima nipitie jukwaa hiliHahahah thanks a lot kiongozi wangu. Ila pia umekuwa adimu sana sikuoni kabisa jukwaani mkuu...!
Nashkuru sana aisee uwepo wako tu hapa ni faraja kubwa kwangu nafarijika kuwa nimezungukwa na watu na nipo karibu na watu kama nyinyi najiskia faraja sana mkuu.
Much respect to you bro.
I appreciate.
HahahUsjali mkuu hata mwaka huu utakaona pia.
Haka hapa enjoy...!
Ndugu Zangu - Afande Sele
Albam ya Taswira - Mandojo na Domokaya
Hoe Hae - Swahili by Nature ikibidi album nzima
Eeh Mola - Solid G.F ft Gorlla Killerz(pingu na deso)
Hatari Kitu Gani - Zay B ft Jay More
Utawamaliza Wote - Big Dog Pose
Trigger Mc - Kafa
T Block Solderz
Mikono Hewani - John Mjema ft Solothang &
The Kila Kitu - Albam yao ikibidi
Understand - Jide & TiD
Raha Tuu OG - AY
Biashara ya Utumwa - Ay & Nature
Suma Lee & Shirko - Maneno neno mengi mpenzi weeh.... yasije kusababisha ..... mi nawe tuachaneeh
Mr Afisa - Squizer & Dataz
Bushoke - kama ulikua hutaki kukaa namii... kwanini hukusema... mapema.... kuliko kunitesa..... (NIKIIPATA ILE YA MAKOLE HEXAGON, ITAPENDEZA ZAIDI)
Hahaha pamoja bro,much respect sana,nipo mzee,kila napopata muda lazima nipitie jukwaa hili
Kuna kipindi nakuwa nashusha mangoma kimya kimya kutoka kwenye request za wadau wengine,tunafarijika sana mkuu
Pamoka bro!
Nashukuru sana mkuu kioo ila Luna wimbo mmoja wa zamani ule umeimbwa kama wimbo wa h mbizo mchumba wenyewe unaitwa nimekufananisha we dada sijui kaimba nani vile nimemsahau jina
Nahitaji nyimbo za lady issa mana nilikuwa nazo sijui nilizifuta bahati mbaya au vipi nimesahau mana yake sizioni katia mafile yangu
Shukran sana mkuu,ukiwapandishia raia vibao vingine naomba usisahu kibao cha zamani cha weusi ft bushoke-kila wakati
Ngoja nitafute jina la msanii na jina la wimboUngenipa jina la wimbo au aliyeimba ingekuwa rahisi kufahamu coz traxx zipo nyingi sana ndugu yangu. Thanks.
Ule wimbo nimeuliza humu wamesema kaimba top c kipindi kile hajatoa sababu ya ulofa top c-nimekufananisha we dadaUnamaanisha huu au...?
Wakuu nisaidieni ngoma ya Squeezer na Dataz inaitwa Hawa Watu.
Umechanganya kidogo mkuu, Kaimba joh makini & Nikki wa pili ft bushokeUnamaanisha huu au...?
Umechanganya kidogo mkuu, Kaimba joh makini & Nikki wa pili ft bushoke
Mzee kioo kama Jini vile
Safari - Christina Shusho
Pompo pisha - Chid benzi
Snare - Funguo
Mzee kioo kama Jini vile
Daaaah hili jamaa kama shetani aisee.
Hatari sana mkuu.
Q chief ft fanani mwana mnyonge
Poor master nisingeweza
Mtu mwembamba