Hahaha pamoja bro,much respect sana,nipo mzee,kila napopata muda lazima nipitie jukwaa hili
Kuna kipindi nakuwa nashusha mangoma kimya kimya kutoka kwenye request za wadau wengine,tunafarijika sana mkuu

Pamoka bro!
 
Nahitaji nyimbo za lady issa mana nilikuwa nazo sijui nilizifuta bahati mbaya au vipi nimesahau mana yake sizioni katia mafile yangu
 
 

Attachments

Hahaha pamoja bro,much respect sana,nipo mzee,kila napopata muda lazima nipitie jukwaa hili
Kuna kipindi nakuwa nashusha mangoma kimya kimya kutoka kwenye request za wadau wengine,tunafarijika sana mkuu

Pamoka bro!

Glad to hear that...!

Much respect to you too brother.

Salute mkuu.
 
Nashukuru sana mkuu kioo ila Luna wimbo mmoja wa zamani ule umeimbwa kama wimbo wa h mbizo mchumba wenyewe unaitwa nimekufananisha we dada sijui kaimba nani vile nimemsahau jina

Ungenipa jina la wimbo au aliyeimba ingekuwa rahisi kufahamu coz traxx zipo nyingi sana ndugu yangu. Thanks.
 
Wakuu nisaidieni ngoma ya Squeezer na Dataz inaitwa Hawa Watu.
 

Mkuu KIOO kuna ngoma moja hivi ya kitambo ameimba mdada mmoja na mshkaji inasema "penzi la ndoa ni tamu tamu, halina kificho... "

Msaada mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…