rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Watu balaa ilishatupiwa humu ila itakuwa page za nyuma sanaNatafuta nyimbo zote za Black skull
1. Watu balaa
2. Mgambo
3. ....
Hiyo mgambo mwenyew naitafuta sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu balaa ilishatupiwa humu ila itakuwa page za nyuma sanaNatafuta nyimbo zote za Black skull
1. Watu balaa
2. Mgambo
3. ....
Prof Jay ft Mkoloni -BabyMkuu kuna wimbo wa kitambo unaimbwa hv
“Haki ya Mama minakupenda
Beibe beibee ninakupenda ee
Mnafuga Mbwa ntakuja na paka nami najua
lazima we utatoka
Kaka yako bondia siwezi kumkimbia
Nitakuja kwenu hata ukinibania
Nashukuru chief ngoja niisake[emoji120][emoji120]Watu balaa ilishatupiwa humu ila itakuwa page za nyuma sana
Hiyo mgambo mwenyew naitafuta sana
Nashukuru chief ngoja niisake[emoji120][emoji120]
Habari wadau! Squeezer na Maunda Zorro "my love" kama haujapandishwa naomba upandishwe.
Beyonce sweet dreams rmx please
Mkuu kuna wimbo wa kitambo unaimbwa hv
“Haki ya Mama minakupenda
Beibe beibee ninakupenda ee
Mnafuga Mbwa ntakuja na paka nami najua
lazima we utatoka
Kaka yako bondia siwezi kumkimbia
Nitakuja kwenu hata ukinibania
Mzee heshima kwako aisee yani daa nimepata ngoma zote nilizokuwa nazi hitaji kupitia ww vp kwa hizo hapo tutafanikiwa mkuu
Naombeni nyimbo za bibie Monica seka na Oliver ngoma
Jamani mwenye wimbo wa wizhlfa when i see you again naombeni please
Mkuu KIOO naomba uniwekee wimbo wa
1. Aungurumapo simba huu umeimbwa na banza stone akiwa T.O.T plus sio ule wa twanga pepeta
2. Masimango ulioimbwa na T.O.T Plus Band
With thanks
Jembekillo
Asante sana mkuuAnza na hiyo kwanza...!
Prof Jay ft Mkoloni -Baby