Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Naomba mwenye mshenga nafikili banza stone ft mandojo na domo kaya pia kuna jamaa anaitwa dokta nani sijui wimbo unaitwa panki staili na pia kuna ngoma nyingine inaimbwa hivi chorous "shilingi inazaa shilingi Anaitkia mwingine SGP Cheki tepe zinavyo zama kwenye lingi anaitikia kwa malanyingine"mbele huki inaendelea sijui sisi ndo ma king
 
Nahitahi wimbo huu mkuu kioo please nataka zote mbili og na rmx yake
Screenshot_2019-07-26-22-32-40.jpeg
 
Nilisikia kipande cha verse ya Nikki huko IG ametisha sana...

Album inapatikana vipi?
Anaiuza mwenyewe bro,kwa shilingi elfu 10 anakupatia na ngoma kadhaa za bonus ..so utachagua mwenyew akutumie kupitia email au whatsapp as documents
 
Iyo iyo kiitikio ni mb dog kaimba aiseee iyo ngoma ni balaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Sure! Mwenyewe hiyo ngoma inanikumbushaga sehemu na vitu ambavyo ata sivikumbuki......

Yule dada mweupe mule ndani nae alifanya maajabu sana
 
Back
Top Bottom