Mwenye video ya wimbo kazi yake mola haina makosa ya madee...naomba
 
jaman msaadaaa
 
Natafuta wimbo wa AT ft Alikiba & queen darlin .....kwanini umenipenda mimi! ni old vibe ambayo verse ya Alikiba nilikuwa naielewa mno
 
Kuna wimbo ulikuwa unapigwa kwenye kipindi Cha watoto radio one zamani kabla na baada ya kipindi kuanza. Nautafuta Sana huo wimbo, ulikuwa unaanza hivi; watotooo wasafi moyoni, Ni nyota za macho ya wazazii, sisi Ni maua, tuliyoopendwa na Mungu mwenyeziii....' please mwenyewe huo wimbo tafadhali nauomba.
 
Jaribu YouTube, Varda Arts- Watoto Wasafi Moyoni...
 
Habari .
Kuna nyimbo inaimbwa
Malaika wangu nitakufa nawewe tu,
Kisura wangu we tembea na mimi tu,

Hii nyimbo ni ya bongo fleva naitafuta sana na aliyeimba ni ME .
Msaada tafadhali kwa anayejua jina la wimbo au angalau artist tu wa hii nyimbo.
KIOO
Idimi
 
Wimbo niutafutao, nashauri yake yapo kama ifuatavyo.

Ondoa mawazo yako,nimekwisha kusamehe
Sasa nakuomba Joyce usifanye tena.
Uliyoyafanya mwanzo, kweli ni mabaya.
Sasa nakukanya Joyce, usifanye tena.

sent from Samsung Galaxy A30
 
wakuu nisaidieni hiyo nyimbo kwny hiyo clip asee nyimbo tamu sana
Your browser is not able to display this video.
 
Tafadhali, naomba mwenye wimbo wa Mchungaji Abiud Misholi unaitwa Namna gani aniangushie hapa. Natanguliza shukrani... Mbarikiwe.
 
Natafuta wimbo ulioimbwa na FM Academia unaitwa "JELA" ulitungwa na marehemu Ndanda Kosovo.

Wimbo huu ulitungwa baada ya wanamuziki wa bendi hiyo kuingia nchini bila vibali hivyo wakaishia kwenye mikono ya dola, baada ya kutoka kwao ndio wakatoa hit song hiyo!

Nitashukuru kama nitaupata maana nimeutafuta sana bila mafanikio! Ahsanteni
 
Kuna wimbo wa zilipendwa,.una maneno haya

✓Kitanda kipo wananilaza chini
✓chakula kipo wananipa makombo
✓wazazi fanyeni haraka mje mnichukue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…