Kuna huu mwingine nao nimeutafuta sanaa bila mafanikio ni wa suma lee nafikiri unaimbwa "kama pesa zako zina kuzuzua kila umwonae wataka kumchukua, mapenzi si biashara emu tulia mapenzi maelewano moyo kuuchaguaa" mwenye nao tafadhali
 
Naombeni ule wimbo wa DADA REMMY,ule mpya sio ule wa zamani,natanguliza shukrani zangu kwa ushirikiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…