der hustler
Member
- Aug 5, 2017
- 52
- 39
Craig david_Seven daysNatafuta nymbo ya msanii mmoja jina silijui ila kwenye nyimbo hyo chorus yake anaimba " I'm gonna miss you on Monday Tuesday miss u Wednesday
Mwamba usije kuwa class mate wangu hata mie huo wimbo ulipigwa Sana welcome form 1 mi ninao kama una watsap niomp nikutumieMimi natafuta wimbo Ameimba Jay moe alafu kiitikio kaimba t.i.d unaitwa tingisha Kama kiberiti ,nimetafuta huu wimbo lakin wapi , unanikumbusha enzi Niko form one mwaka2005 ulipigwa siku ya kutupokea aisee lile disco siwez lisahau ,sasa huo wimbo ulipigwa Zaid ya Mara Mia
Hapana sio huo wenyewe ni wakibongo beat yake kama ya reggae hivi ya Chris Martin ile paper loveCraig david_Seven days
Hapana maneno yanasema ,Kunguni na viroboto ni marafiki zaaaaanguuuuu, Chawa na panya tuliishi nyumba moja, ila kwanini usiku mnanisumbuuua... Naaaasikitikaaaaaaaa.....halafu ndio anasema samahani saaana saaamaani saaaaana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Natafuta wimbo Wa kale sana sijui unaitwaje ila una maneno kama " chawa na panya waliishi nyumba moja... Samahani sana.., samahani sanaaa..!
Hizi nyimbo balaza la sanaa wamekataza maana zinaharibu redio.Kuna jamaa anaimba kluuuuuuuu pumpumpumpuu sikia kenkenkenke
Ukipata na mimi naomba. Maana dah jamaa alikuwa na nyimbo kali halafu hazipo hewani hata moja...... Inaumiza hisia.....Ndugu zangu!, Mwenye nyimbo za SOS B.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hako kawimbo nilikuwa nakatazama ITV daaaaaah Jamaa na demu wake wanaimba kivivu ha ha ha ha ha ha ha..... Eti Hooooooi Hooooi..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jaman naomba mnisaidie jina la wasanii walio imba wimbo huu, na jina la wimbo pia ikiwezekana. Ili niweze kuutafuta.
" nikikupa kupa kuupa utalewaa aah, nanikikunyiima dhuruma ×2.
Nishachoka mie, usichokoo ×3 "
Unaitwa "Walimwengu Wabaya"nami waungwana nautaka huoo
elimu ya mjinga na ulee wa nyamayao was me
ntiiiintiiiiintiiii ntiiiii
tiliiii liii liiii liiiiiii tantila ntenteeeeenteee wa Ally choki huu na twangaa