Nina huo wa Mitego.

Your browser is not able to play this audio.
 
Natafuta wimbo wa "Tunaelea Tunaelea tunakwenda mbinguni, jamani dunia siitaki......."

Naambiwa huo wimbo uliimbwa sana miaka ya tisini, hususani kwenye mikutano ya injili Dar, sijui ni Kinondoni revival, Kawe revival au City Christian Fellowship?

Mwenye nao atusaidie hapa, na sisi wa kizazi hichi tuburudike.
 
Hii nyimbo nimeitafuta mda mrefu sana. Ilikuwa inapigwa sana chanel ten. Kama uliupata naomba unitumie. .
 
Kuna mwana hip hop mbongo anafloo kama za Rado.Ngoma ni ya kitambo sana na video yake alitolea kwenye jumba ambalo alijakamilika(Pagara).
Ndani ya wimbo kuna maneno haya"KWA NINI NISHEREHEKEE SIKU YA KUZALIWA WAKATI WALIONIZAA HAWAPO?".

Nauomba.Asante.
 
" katapila nyamaza kulia,ukilia utaliza wengi ukiwa mbaya eeee"' inaitwaje hii Ngoma?
 
Link ya live band oliver neria alivivaa shirt nyeupe aliimba live kali sana ya neria
 
Natafuta wimbo unaitwa Akoreche morechare ndani yuko young dee, mucky na nani wengine sijui.. Kipindi hiko wako chini ya maxrioba na authentic studio
 
Huo wimbo namba 3 unaitwa Shani umeimbwa na Issa E & Lil Bio ft B.o.b(bob junior wa sasa kipindi hicho alikuwa ana rap)

Sikili sikili sikilizaaa aaaa sikiliza X2
Shani nakupendaaa,shani wangu nakupedaa oooo ninakiupenda shida ninazozipata anajua ye Mwenyezi X2


Verse 1 Lil Bio
Siga zote mi nakupaaaa,na kumshukuru Mwenyezi
Kwa kunijalia kukupata wangu mpenzi.

HATA MM NIMEUTAFUTA BILA MAFANIKIO
 
Mwenye nyimbo hz plz
Lg mobb-Mgambo
Kigwema-Naacha mzk
Kigwema-Bint skendo
Issa E & Lil bio-Shani
Waridi ft h baba-dear
Sir robby ft chege-Usiniache
Master Vapour-Hunifai
Zozowida-kwa mjomba kalanganzule
Mona baby ft pasha-Shoe shine
 
Nautafuta wimbo mmoja hivi uliimbwa kati ya 1999 na 2000's
Kwenye kiitikio unaimbwa " If I cant get you" sina uhakika na muimbaji kama ni Brandy, Yolanda, Monica ama nani ila ni mdada wa Kimarekani. Akiwa amemshirika kati ya Jay Z ama Rakeem[emoji120]
 
Habari wadau...
Kuna wimbo nautafuta atakayenisaida kuupata ntampa hela ya bando la wiki...
Huo wimbo nahisi Ni wagosi wa Kaya au Dani msimamo na Mr. Ebo nilikua mdogo kipindi hicho... Moja ya mistari kwenye kiitikio ilikua hivi...

Narudi nyumbani nimechoka maisha
Na huku mjini ninataabika
Narudi nifanyeje
Naomba mnipokeee ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…