Mwenye nyimbo ya jebby msaada nadhani inaitwa roho mbaya sina hakika sana kama kaimba na mtu kamshirikisha

kuna kipande anasema wanchinja mbuzi ila bado nipo wanachinja ngombe ila bado nipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna taarabu Fulani hivi inasema penzi letu si la kuchachua chachua ......... Tugombane asubuhi jioni tunaongeaaa
 
Mimi natafuta tape maagizo kabwela na uledi au juma na uledi (dawa ya fitina ni vitina kwenu wahenga)
 
Jamani huu wimbo I was dedicated by my first boyfriend in 1994. I used to sing all of the verses. Lakini si unajua Kingereza cha kadarasa ka pili A, unaimba chochote ili mradi u rhyme, 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 ENG yenyewe ya Jamaica 🇯🇲
 
Jaribu ku search huu kupitia YouTube uone kama ndio unaoutafuta.

Pain in Me - Emanuel Nkulila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…