Mzee unatisha umefanya nikeshe leo nakumbuza zamani

Ngoma ni nyingi mkuu siwez pitia zote we nipe tu hiyo uliyomtumia mshkaj
Kweli ngoma ni nyingi ndio maana jamaa hapo juu akawa amekesha akiskiliza mangoma tofauti tofauti that's why akatoa appreciation kwa ngoma zote hizo mpaka zikamfanya akakesha mkuu.

Ila sio mbaya ukipata moja ya vibez ambayo ni ngoma yangu binafsi hiyo hapo chini mkuu.

Enjoy the vibez...!
 

Attachments

Safi bonge la ngoma mzee
 
Haaaa haaa kioo kama kioo safi sana, uyk mdau juu arudie post za 2019 atalewa nazungumzia nini
 
Naomba anayefaham app mzuri ya kudownload movie anisaidie
 
Betiiii nimekuzoea kuwa nawe wakati wowote,mawazo mawazoo,ukiwa ukiwa ukiiwaaaaa


Unaitwaje huu kaimba nani?
 
habari, samahani anaeweza kupata ule wimbo anaimba '' nitalia nitazimia nitaposikia nimeunganishwa na jina lako"
 
Naitafuta nyimbo imeimbwa na Tamaduni muzik nadhani inaitwa Amka Mtanzania lakini version ambayo kuna speech za Nyerere. Mwenye nayo anisaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…