Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma ni nyingi mkuu siwez pitia zote we nipe tu hiyo uliyomtumia mshkajMangoma kibao mzee baba peruzi tu utakutana na vyuma vikiwa bado vya moto kabisa. HAVIJAPOA..
Mzee unatisha umefanya nikeshe leo nakumbuza zamani
Kweli ngoma ni nyingi ndio maana jamaa hapo juu akawa amekesha akiskiliza mangoma tofauti tofauti that's why akatoa appreciation kwa ngoma zote hizo mpaka zikamfanya akakesha mkuu.Ngoma ni nyingi mkuu siwez pitia zote we nipe tu hiyo uliyomtumia mshkaj
Safi bonge la ngoma mzeeKweli ngoma ni nyingi ndio maana jamaa hapo juu akawa amekesha akiskiliza mangoma tofauti tofauti that's why akatoa appreciation kwa ngoma zote hizo mpaka zikamfanya akakesha mkuu.
Ila sio mbaya ukipata moja ya vibez ambayo ni ngoma yangu binafsi hiyo hapo chini mkuu.
Enjoy the vibez...!
Haaaa haaa kioo kama kioo safi sana, uyk mdau juu arudie post za 2019 atalewa nazungumzia niniKweli ngoma ni nyingi ndio maana jamaa hapo juu akawa amekesha akiskiliza mangoma tofauti tofauti that's why akatoa appreciation kwa ngoma zote hizo mpaka zikamfanya akakesha mkuu.
Ila sio mbaya ukipata moja ya vibez ambayo ni ngoma yangu binafsi hiyo hapo chini mkuu.
Enjoy the vibez...!
Haaaa haaa kioo kama kioo safi sana, uyk mdau juu arudie post za 2019 atalewa nazungumzia nini
Uende salamaaaa, urudi salamaaaa...!Betiiii nimekuzoea kuwa nawe wakati wowote,mawazo mawazoo,ukiwa ukiwa ukiiwaaaaa
Unaitwaje huu kaimba nani?
Betiiii nimekuzoea kuwa nawe wakati wowote,mawazo mawazoo,ukiwa ukiwa ukiiwaaaaa
Unaitwaje huu kaimba nani?
Nani kauimba?habari, samahani anaeweza kupata ule wimbo anaimba '' nitalia nitazimia nitaposikia nimeunganishwa na jina lako"
Ni mdada ila jina sikumbukiNani kauimba?
Jirekodi ukiimba then uiweke hapa tunaweza tukajua kupitia melody yake.Ni mdada ila jina sikumbuki
MB-Dog -Latifah.