hatari hii kitu, hii beat hata dr. dree lazima akose usingizi, alafu video yake ya kawaida sanaaa, na hii chorus akon so wa mchezo dahhhhHa ha ha ha ha ha ha, Pamoja sana mkuu.
hapa nimeweka repeat hahaha, watu wanauliza hiyo ngoma ni ya nani, nawajibu mtoto wa mandale hiyooo kaachia, wanautafuta youtube hapaHa ha ha ha ha ha ha, Pamoja sana mkuu.
Aaah hiyo ngoma noma sana tena kipindi hicho Akon yupo on fire hatari.hatari hii kitu, hii beat hata dr. dree lazima akose usingizi, alafu video yake ya kawaida sanaaa, na hii chorus akon so wa mchezo dahhhh
[emoji16] [emoji6]
Ha ha ha ha ha hapo umewaweza mzee.hapa nimeweka repeat hahaha, watu wanauliza hiyo ngoma ni ya nani, nawajibu mtoto wa mandale hiyooo kaachia, wanautafuta youtube hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
dah hatar sanaa[emoji2] [emoji2]Aaah hiyo ngoma noma sana tena kipindi hicho Akon yupo on fire hatari.
Yani hapo swaaaafi kabisa. [emoji2] [emoji2]dah hatar sanaa[emoji2] [emoji2]
leo siitoi hii ngoma hadi kuchweee
namuona wa ubavu anatikisa kichwa hapa
leo [emoji2] [emoji23] [emoji16]
Thanks ila sio huu wenyewe ni ule unapigwa sana kwenye matukio kama sherehe hata misiba hua inapigwaEbu isikilize hii ndio yenyewe au??
Wimbo unaitwa hivyo hivyo ALWAYS umeimbwa na JAMES INGRAMMimi kuna wimbo flan nautafuta ni old school sijui unaitwaje wala simjui aliyeimba ..... neno ambalo huwa nasikia kwenye chorus ni ALWAYS tu... msaada wenu plz
Thanks ila sio huu wenyewe ni ule unapigwa sana kwenye matukio kama sherehe hata misiba hua inapigwaEbu isikilize hii ndio yenyewe au??
Stara ThomasJamani me nautafuta wimbo unaimbwa hivi kiitikio chake kumbuka Yale walosema na tuone sasa kama mwisho utafiikaa.."aaaeeeh Mimi na wewe tupendane mpaka siku ya mwisho haadi watu washangae maaamaa# jaman aliyeimba simjui mwenye nao aweke hapa
Nadhani unamzungumzia Ndanda Kosovo,Kuna jamaa alishatangulia mbele za haki jina nimemsahau alikua anaimba dance mtindo wa nywele zake nyeupe wimbo ndo naukumbuka jina lake unaitwa jela mnaweza mkanisaidia