Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TUko pamoja ndugu, na mm nautafuta sana huu wimboNatafuta wimbo wa Dully Sykes TAMIKA
Sio tunaendana?Mwenye wimbo wa jamaa walijiita war-will "tunakoseana"
Kuna nyimbo moja bongo flava wanaimba hiv.. "chagua mmoja mimi ama ye, uwe nae, kama unampend si umwambie ili na yeye ajue e e"
Ni wimbo flan hv dem anachanganya wanaume wawili, nd jamaa anaimba kama anampenda amuambie na kama anampend yule mwengin amuambie t asiwachanganye, ni wimbo wa miaka ya kuanzia 2005 mpk 2010 (sijui umetok mwaka gan hasa lkn ni within hiyo 10 years)
Kuna ule wimbo,
Unasema hivi "Katika mashekhe wa kali kalina ,dari darina na mimi nimo nimo"
Hii ni hip pop sjui kaimba nani?
Huo wimbo nautafutaga sana ulikua kwenye album Yake ya kwanza mama alikua anaisikiliza Kila siku ndio namimi nikampenda ray c humo
Hope ni wenyewe huoOoh wow
Shukrani
Ni wenyeweHope ni wenyewe huo
Keisha ft bushoke_huruma
Poa poa!Ni wenyewe
Wakuu mwenye hizi nyimbo
1.JUMA NATURE - HUWEZIJUA
2.TOP T - NIMEKUFANANISHA
3.MZINGA BAND - MAZOEA YANANIKONDESHA
4.K BASIL - CHOZI
5.ENIKA - CHANGANYA
6.NYIMBO ZOTE ZA MWANA FA
Natanguliza shukrani
Nataka kujua jina la huyu msanii aliyeimba.
Mimi na wewe.... tuache makelele
Mimi nawewe... milele na milele
Nahisi ndo track yao ya kwanza ku hit kipindi hicho, naisaka siipati popote, humo ndani Kuna mistari kadhaa naikumbuka..Sio tunaendana?