for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,397
- 4,436
Mkuu nitumie kwenye whatsap no iliniupandike huku kwenye uziNielekezeni namna yakuuweka hapa ndo kinanishinda but ninao huo wimbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nitumie kwenye whatsap no iliniupandike huku kwenye uziNielekezeni namna yakuuweka hapa ndo kinanishinda but ninao huo wimbo
Ni pm namba yakoMkuu nitumie kwenye whatsap no iliniupandike huku kwenye uzi
Ile ni abba inaitwa dacing queen ingia YouTube upoKuna wimbo nautafuta sana, siufahamu ila beat yake iliwahi kutumika kama underground beat katika kipindi cha JE WAJUA Radio Free Africa kila jumapili saa tatu unusu hivi. Ni slow music. Kwa wenye utaalam unaweza kuingia YouTube ukasikiliza copy ya kipindi hicho na ukaaikiza pia underground beat wakati kipindi kinaendelea kinaitwa JE WAJUA
Inaelekea wewe ni mtaalam sana wa kugoogle na kupata kila kitu eeeh... tafadhali Nigooglelie" wimbo wa kaptain komba mgeniJamani sasa c mgoogle you tube kila kitu kipo
Abeti Masikini - Wali na Sombe na lupilipili maa na luchumvi maa unakolea kosingo.
Likayabo - Manjano na mdalasini.
Stara ThomasJamani me nautafuta wimbo unaimbwa hivi kiitikio chake kumbuka Yale walosema na tuone sasa kama mwisho utafiikaa.."aaaeeeh Mimi na wewe tupendane mpaka siku ya mwisho haadi watu washangae maaamaa# jaman aliyeimba simjui mwenye nao aweke hapa
Kuna wimbo nautafuta sana, siufahamu ila beat yake iliwahi kutumika kama underground beat katika kipindi cha JE WAJUA Radio Free Africa kila jumapili saa tatu unusu hivi. Ni slow music. Kwa wenye utaalam unaweza kuingia YouTube ukasikiliza copy ya kipindi hicho na ukaaikiza pia underground beat wakati kipindi kinaendelea kinaitwa JE WAJUA
Kuna nyimbo tatu nazitafuta sikumbk znaitwaje ila maneno baadhi nayakumbuka nyimbo ambazo nilikua nazisikia kipindi mdogo baba yangu alikua akisikiliza.....
Moja ina maneno "bwana nipe pesa watoto wana njaa"
Ya pili maneno yanasema "kwetu ku zaire siku nitarudi nitakula wali wali na shombe"
Tatu ina maneno yanasema "wandugu muwe na huruma wandugu muwe na huruma"
1. Tumbo joto - Kali P
2.Mr.ebbo - Mi masai(original version)
2. "Nimekufananisha wewe dada" (sijui kaimba nani)
3. Alikiba -zaidi yako ( "si unaelewa wazi mi nikaka yako.. na unajua huyu ni shem wako")
4. Bakizi - ninapenda ukivaa kanga moja
5 "Utanikumbuka mpenzi wangu utanikumbukaa" jina nimelisahau
1. Tumbo joto - Kali P
2.Mr.ebbo - Mi masai(original version)
2. "Nimekufananisha wewe dada" (sijui kaimba nani)
3. Alikiba -zaidi yako ( "si unaelewa wazi mi nikaka yako.. na unajua huyu ni shem wako")
4. Bakizi - ninapenda ukivaa kanga moja
5 "Utanikumbuka mpenzi wangu utanikumbukaa" jina nimelisahau