Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna wimbo nautafuta sana, siufahamu ila beat yake iliwahi kutumika kama underground beat katika kipindi cha JE WAJUA Radio Free Africa kila jumapili saa tatu unusu hivi. Ni slow music. Kwa wenye utaalam unaweza kuingia YouTube ukasikiliza copy ya kipindi hicho na ukaaikiza pia underground beat wakati kipindi kinaendelea kinaitwa JE WAJUA
Ile ni abba inaitwa dacing queen ingia YouTube upo
 
Nimetafuta miaka mingi sana bila mafanikio wimbo was taarabu uliimbwa na bima morden taarabu mtunzi ni ALLY TAJIRUNA.unaitwa kumwacha sitoweza ntashukuru sana nkiupata huu wimbo.
 
Mwenye wimbo rap music flani wa'zamani uhusuo ukimwi,sikumbuki unaitwaje wala msaanii aliyeuimba lakini chorous inaimbwa hivi:

[emoji445]ni kizaa zaa,niwakati wa kujilinda saaasa.....utakoma.....utaenya[emoji445]
 
Jamani me nautafuta wimbo unaimbwa hivi kiitikio chake kumbuka Yale walosema na tuone sasa kama mwisho utafiikaa.."aaaeeeh Mimi na wewe tupendane mpaka siku ya mwisho haadi watu washangae maaamaa# jaman aliyeimba simjui mwenye nao aweke hapa
 
Jamani me nautafuta wimbo unaimbwa hivi kiitikio chake kumbuka Yale walosema na tuone sasa kama mwisho utafiikaa.."aaaeeeh Mimi na wewe tupendane mpaka siku ya mwisho haadi watu washangae maaamaa# jaman aliyeimba simjui mwenye nao aweke hapa
Stara Thomas
 
Natafuta wimbo bahati mbaya msanii na jina la wimbo nimesahau,chorous inaimbwa:

[emoji445]you better love me or leave alone(leave me alone),you better love me or leave me alone(leave me alone)[emoji445]

Umeimbwa na mwanadada flabi miaka ya 2003/2004.
 
Kuna wimbo nautafuta sana, siufahamu ila beat yake iliwahi kutumika kama underground beat katika kipindi cha JE WAJUA Radio Free Africa kila jumapili saa tatu unusu hivi. Ni slow music. Kwa wenye utaalam unaweza kuingia YouTube ukasikiliza copy ya kipindi hicho na ukaaikiza pia underground beat wakati kipindi kinaendelea kinaitwa JE WAJUA
 

Attachments

Natafuta wimbo wa siasa, maneno yake ni "YEYE NDIYE ALIYEANZISHA UMOJA WA TAIFA NYERERE,
TUMSIFU KWA FURAHA.....

NYERERE BABA YETU TUNAKUFAHAMU".

Sina uhakika hayo maneno kama nimeyapatia vizuri.
 
Kuna nyimbo tatu nazitafuta sikumbk znaitwaje ila maneno baadhi nayakumbuka nyimbo ambazo nilikua nazisikia kipindi mdogo baba yangu alikua akisikiliza.....
Moja ina maneno "bwana nipe pesa watoto wana njaa"

Ya pili maneno yanasema "kwetu ku zaire siku nitarudi nitakula wali wali na shombe"

Tatu ina maneno yanasema "wandugu muwe na huruma wandugu muwe na huruma"
 

Attachments

1. Tumbo joto - Kali P

2.Mr.ebbo - Mi masai(original version)

2. "Nimekufananisha wewe dada" (sijui kaimba nani)

3. Alikiba -zaidi yako ( "si unaelewa wazi mi nikaka yako.. na unajua huyu ni shem wako")

4. Bakizi - ninapenda ukivaa kanga moja

5 "Utanikumbuka mpenzi wangu utanikumbukaa" jina nimelisahau
 

Attachments

Kuna mmoja wa kale una kibwagizo ''shangazi naomba tait yako nipendeze niende ngomani,sijui kesho nitarudi na mwenge oooh'' Nikiupata itapendeza zaidi!
 
1. Tumbo joto - Kali P

2.Mr.ebbo - Mi masai(original version)

2. "Nimekufananisha wewe dada" (sijui kaimba nani)

3. Alikiba -zaidi yako ( "si unaelewa wazi mi nikaka yako.. na unajua huyu ni shem wako")

4. Bakizi - ninapenda ukivaa kanga moja

5 "Utanikumbuka mpenzi wangu utanikumbukaa" jina nimelisahau
 

Attachments

Back
Top Bottom