SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,344
Kuna Wimbo aliimba Bizman kwenye album yake ya Nipe Muda kama sikosei. Moja ya nyimbo alizoimba ni Nipe Muda, Mabinti wa kibongo, nk.
Sasa kati ya hizo kuna wimbo siukumbuki jina ila maadhui yake ni kwamba mwanaume hawezi shindana na mwanamke hata awe na msuli vipi. Mwanamke anaweza kukuua hata kwa ua.
Sijui nitaupata wapi huo wimbo. Nimekuja sana hapa jf bado sijaupata. Nilimtafuta Bizman anitumie lakini jamaa kimya hata hajibu.
Mwenye nao anitumie tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kati ya hizo kuna wimbo siukumbuki jina ila maadhui yake ni kwamba mwanaume hawezi shindana na mwanamke hata awe na msuli vipi. Mwanamke anaweza kukuua hata kwa ua.
Sijui nitaupata wapi huo wimbo. Nimekuja sana hapa jf bado sijaupata. Nilimtafuta Bizman anitumie lakini jamaa kimya hata hajibu.
Mwenye nao anitumie tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app