Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,171
- 15,760
Huyu jamaani mbongo kweli mkuu?mbona jina limekaa kama la ki-Africa magharibi?jamani kuna mtu yeyote anafahamu nyimbo za salif keita?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaani mbongo kweli mkuu?mbona jina limekaa kama la ki-Africa magharibi?jamani kuna mtu yeyote anafahamu nyimbo za salif keita?
Huyu jamaani mbongo kweli mkuu?mbona jina limekaa kama la ki-Africa magharibi?
Ndio. Nipo?jamani kuna mtu yeyote anafahamu nyimbo za salif keita?
Hapana sio barua, kuna nyimbo kwenye kama anamwimbia demu huku akimbembeleza na kumpa matumaini ya kwamba ipo siku nao watakuwa na maisha mazuriBarua au??
Basi ni Vumilia Ya UVC...Feruz alishirukishwa tu...Hapana sio barua, kuna nyimbo kwenye kama anamwimbia demu huku akimbembeleza na kumpa matumaini ya kwamba ipo siku nao watakuwa na maisha mazuri
mkuu habari, nikidescribe kwa video jinsi ilivyo utaweza tambua jina la nyimbo, kwa kweli wimbo huu nimeshindwa kabisa kuupata sababu jina silijui, nilikuwa nikiuona nikiwa mdogo...Ndio. Nipo?
Hiyo nyimbo inazungumzia kuhusu mwanadamu, anaimba mbaba flani hivi kisha kuna sauti ya wanawake inaitikia.Mimi nautafuta wimbo fulani wa gospel uliimbwa na kwaya Fulani kitambo sana. Nmesahau jina lake na Nina la kwaya yenyewe lakini nakumbuka mistari take baadhi. Na mistari yenyewe ni ifuatayo: Nimekuleta chini nikakupa kila kitu lakini umesahau kwamba Mimi ni muumba wako. Ntashukuru Nikiupata.
Ndio huohuo mkuuBasi ni Vumilia Ya UVC...Feruz alishirukishwa tu...
Vumilia ndo hali ya dunia..
ipo siku ndoto zetu zitatimia
poa nauweka muda si mrefuNdio huohuo mkuu
Ntashukuru sana mkuupoa nauweka muda si mrefu
Ntashukuru sana mkuu
poa nitacheki asubuhi...Habari mkuu
Nami naomba ule wimbo wa kwaya unaosema HAKUNA MUNGU KAMA WEWE YAWEE AAAHH. AAAHH
Shukrani.