Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejikaza sana hata kumjibu.Ungekula pini.Hatutaki nyimbo za kuanzia 2005 kwenda mbele huko mpaka huku tulipo.Unamaanisha moyo wangu ama?
Sikunyingine omba nyimbo ngumu ngumu, sio za akina Mbosso, Lavalava na nyingine za sampuli hiyo
Melimela nini!?Kuna wimbo mmoja aliimba jamaa wa Uganda nafikiri miaka ya 2008, ulikuwa na maudhui nzuri sana, moja ya rhyme zake ni hizi
"Analia akitizama chini,
Na hajui atafanya Nini,
Loo lo lolooo"
Shortly unamuhusi binti ambaye alikuwa akionywa na mama ake toka akiwa mdogo asifuate ya kidunia alivofika kidato Cha tatu Basi dunia ikamhadaa akapoteza vyote mzee.
HahahaUnamaanisha moyo wangu ama?
Sikunyingine omba nyimbo ngumu ngumu, sio za akina Mbosso, Lavalava na nyingine za sampuli hiyo
Ni wimbo wa Bizman...nitauweka baadayeKuna nyimbo flani hivi chorus yake inaimba hv :
"Tuwe karibu
Mpenzi karibu
Tuishi pamoja
Aha a. "
OCG-Kazeze.....Kuna pini flani hivi mchizi anasimulia story ya jamaa yake aliyefariki kwa miwaya ...haamini kumwona jamaa yake.Odinary sana.siyo alikufa kwa ngoma wala msinitenge au starehe ya braza Ferooz.Ni ngoma tamu kuisikiliza,kuifikiria na funzo lake pia ni jema kiasi.
Ni wimbo wa Bizman...nitauweka baadaye
Hizi hapa ndugu, kama zooooote vile.
Enjoy while it lasts
Mkuu naomba new version ya CCM mbele kwa mbele na siyo huu wa mwanzo