Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Wakuu Gwankaja na kioo tafadhali naomba hizi nyundo.
1.Dudu Haya_Nakupenda tu
2.Dudu baya_Nakupenda mpenzi
3.Ay_Usijaribu
4.Akili the brain_Nakupenda regina.

Naomba kuwasilisha ahsante.
 
Wakuu Gwankaja na kioo tafadhali naomba hizi nyundo.
1.Dudu Haya_Nakupenda tu
2.Dudu baya_Nakupenda mpenzi
3.Ay_Usijaribu
4.Akili the brain_Nakupenda regina.

Naomba kuwasilisha ahsante.
 

Attachments

Attachments

Attachments

Asee wakuu hili jukwaa ni msaada tosha kwetu ss wahenga wa middle age...
Naombe mwenye wimbo unaimbwaga hivi...
NIMEKUFANANISHA WE DADA
NIMEKUFANANISHA WE SISTER
NDIO MAANA MM NIMEKUITA..
 
Wakuu gwankaja KIOO na mkuu Idimi naomba niangalizieni hizi ngoma,sina uhakika sana kama zimeshawekwa hapa jukwaani maana kote nilikopita huko juu sijapata kuziona[emoji116][emoji116][emoji116]

Kicheko tu LWP.

Hatari Kitu Gani Zay B.

Tumbo Deni la Dunia Uswahilini Matola.

Mwanangu Huna Nidhamu Dudubaya Konki.

Mc Katuni Solo Theng.

Tunajirusha Inspector Haroun&Nazizi.

Tupo Kamili Mabaga Fresh.

Tuwe na Adhabu Gani juu ya hawa Wanaoturoga Juma nature ft.......

Barua Daz Nundaz.

Mtoto wa Gate Kali Inspector Haroun.

Mtoto Iddi J Nature.

We Ndo Mchizi Wangu N2N.

Hawatuwezi N2N.

Tunawapiga Bao N2N{hii ni diss song kwa Kikosi Cha Mizinga}.

Sister Sister GK.

Wanakuita Sugu Mr II ft Stara.

Watu Kibao,hii inazungumzia wingi wa vitu na watu jamaa jina lao limenitoka.

Wauguzi Wagosi Wa Kaya.

Starehe Ni Gharama LWP Majitu ft Mr Paul.

Bishoo Jay Mo

Mvua na Jua Jay Mo

Wachuja Nafaka Doro,KR,Nature.

Ingekuwa Vipi Mwana FA ft Jay Mo

Nasikia Utamu/Hausikii Utamu,jamaa flani hivi nahisi wakenya mmoja anaimba sauti nyembamba mwengine kwa sauti nzito.

Thanks in advance wazee.
 
Mkuu KIOO kuna ngoma moja ya wagum fulani wa zamani early 2000s bahati mbaya jina lao sijalikamata ila naikumbuka chorus inasema "TWENDE KAZI WATU WAJUE NANI M'BAKIAJI,TWENDE KAZI WATU WAJUE NANI M'BAKIAJI,TWENDE KAZI YOO×2",pia ktk verses kuna mmoja wao ana-rap kisha anafanya kama kufyonza hivi.....

Sijui kama maelezo yameeleweka ila naomba kama utaweza kuunga unga dots uipandishe hiyo ngoma hapa.
Hizo lyrics zinakuja zinatoka unaweza kuongezea mistari kidogo au mtu yoyote aliyepo kwenye hiyo ngoma humkumbuki aisee...?

Try to remember bro. Thanks.

[emoji1420]
Ngoja niijaribu kufikirika mkuu nitarudi.
Mwenyewe zinakuja zinapotea... ilikuwa kama crew hiv
Wakuu huu wimbo ninao kwenye CD nimefanya kuu-record kidogo tatizo hausikiki vizuri naomba mnipe hints jinsi nitakavyoweza kuweka kipande nilichokirekodi hapa jukwaani au niwarushie PM.
 
Back
Top Bottom