Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Mmeakaje wakuu naomba wa bendi fulani aina ya zouk wimbo siukumbuki jina ila unamashairi jamaa kama anamuimbia huyo mwanamke walikutana majira ya jioni sasa anamwimbia "jina lako nani mbona huko haoa unaishi wapi, na unamsubiri nani, alichonijibu dada huyu kwa kweli kinasikitisha sana ni upweke,unaomsumbua"
 
Kuna wimbo ht siujui jina watu wanaimba harafu wanaanguka chini.
 
Gwankaja nikirudi kutoka katika mashimo ya mfalme suleimaan sintakusahau na huyu bwana mkuu kioo.
Niombeeni dua nirudi salama.

Usiwe na wasiwasi aisee tuko pamoja bro.

Tunakutakia safari njema kiongozi uende salama na urudi salama pia mkuu.

Thanks a lot.
 
Mimi nautafuta wimbo fulani wa gospel uliimbwa na kwaya Fulani kitambo sana. Nmesahau jina lake na Nina la kwaya yenyewe lakini nakumbuka mistari take baadhi. Na mistari yenyewe ni ifuatayo: Nimekuleta chini nikakupa kila kitu lakini umesahau kwamba Mimi ni muumba wako. Ntashukuru Nikiupata.
Siyo kwaya ya mabibo hiyo kweli
 

Attachments

Asee wakuu hili jukwaa ni msaada tosha kwetu ss wahenga wa middle age...
Naombe mwenye wimbo unaimbwaga hivi...
NIMEKUFANANISHA WE DADA
NIMEKUFANANISHA WE SISTER
NDIO MAANA MM NIMEKUITA..
Mkuu ukiupata huo wimbo nshtue na mm...
kuongezew ni kwamba aliyeimba ni Top C... ambaye baadaye alikuja kuimba lofa...

Huu na mm nimeutafuta kwa miaka mingi...
 
Wakuu gwankaja KIOO na mkuu Idimi naomba niangalizieni hizi ngoma,sina uhakika sana kama zimeshawekwa hapa jukwaani maana kote nilikopita huko juu sijapata kuziona[emoji116][emoji116][emoji116]

Kicheko tu LWP.

Hatari Kitu Gani Zay B.

Tumbo Deni la Dunia Uswahilini Matola.

Mwanangu Huna Nidhamu Dudubaya Konki.

Mc Katuni Solo Theng.

Tunajirusha Inspector Haroun&Nazizi.

Tupo Kamili Mabaga Fresh.

Tuwe na Adhabu Gani juu ya hawa Wanaoturoga Juma nature ft.......

Barua Daz Nundaz.

Mtoto wa Gate Kali Inspector Haroun.

Mtoto Iddi J Nature.

We Ndo Mchizi Wangu N2N.

Hawatuwezi N2N.

Tunawapiga Bao N2N{hii ni diss song kwa Kikosi Cha Mizinga}.

Sister Sister GK.

Wanakuita Sugu Mr II ft Stara.

Watu Kibao,hii inazungumzia wingi wa vitu na watu jamaa jina lao limenitoka.

Wauguzi Wagosi Wa Kaya.

Starehe Ni Gharama LWP Majitu ft Mr Paul.

Bishoo Jay Mo

Mvua na Jua Jay Mo

Wachuja Nafaka Doro,KR,Nature.

Ingekuwa Vipi Mwana FA ft Jay Mo

Nasikia Utamu/Hausikii Utamu,jamaa flani hivi nahisi wakenya mmoja anaimba sauti nyembamba mwengine kwa sauti nzito.

Thanks in advance wazee.
 

Attachments

Habari wakuu #TeamBajuda na wakuu wote hapa ndani.

Hii ngoma ya
1. CHINDO MAN_MBWA MZEE NDO ANABWEKA WOO WOO...

tafadhali naiyomba wakuu.
Shukrani #TeamBajuda
 
Habari wakuu kuna wimbo mmoja nautafuta sana sijui umeimbwa na nani kiitikio chake kiko hivi

Niko radhi nianguke kwa magoti iiiiii ninahaki ya kujua kosa langu mimi nije niombe samahani
zikateni mikononi mwangu pingu uuuu
 
Habari wakuu kuna wimbo mmoja nautafuta sana sijui umeimbwa na nani kiitikio chake kiko hivi

Niko radhi nianguke kwa magoti iiiiii ninahaki ya kujua kosa langu mimi nije niombe samahani
zikateni mikononi mwangu pingu uuuu
Jerome-Wazazi
 
Jaman nisaidien na mm nipate tunyimbo twangu.... Naomben mwenye nyimbo ya nemo baby sema, pia nyimbo zote za rah p
 
Back
Top Bottom