Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna wimbo unaimbwa yeelo yeelo,yeelo wa zamani sana ni katika old is gold kama kuna anaepata aidia akaujua anipe jina la mwanamuziki alieimba
Huu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.

View attachment 628965
 
Mkuu mwenye track ya domokaya na chege- kaunta ya juu aitupie hapa
 
Kuna wimbo unasema NATAKA NIKUJUE SANA ILI NIWE NAYO AMANI NDIPO HAYO MEMA YATAKAVYO NIJIA MIMI ni Gospel YouTube kuna watumishi waliimba chorus tu nautaka wote tafadhari. Nisaidieni.
 
Huyo jamaa anaitwa E-Sir (R.I.P).

Ni moja kati ya wasanii nnaowakubali sana kutoka Kenya, ukiondoa Kalamashaka. Hiyo ngoma inaitwa Boomba Train alikuwa na Nameless humo ndani. Hiyo hapo chini.

Na ngoma nnayoikubali sana kutoka kwake ni Moss Moss. Hatari sana aisee.

Feel The Vibes.
Anayo nyingine inaitwa 'slow'
 
Back
Top Bottom