KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,235
- 5,854
Darasa huru..by Jose mtambo nadhani kwenye chorus Dully Sykes kavunja mbaya..dah I miss all those old days.. When life was called life..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Darasa huru..by Jose mtambo nadhani kwenye chorus Dully Sykes kavunja mbaya..dah I miss all those old days.. When life was called life..
Party ya kiutu uzima...bongo record
Huu hapa. EnjoyAlbino fulani ft sugu, belle 9, Fa-nafasi
...sometimes sina kitu lakini nakua mbishiHawapigi tena track redion
hata kwenye tv hauonion
Na jina haliend chini
najua unashangaa hata mi sijui kwanini...
Ilikuwa verse ya kibabe sana...
Huu hapa. EnjoyLIFE—DES'REE
ipo nikumbushe jion...wadau natafuta nyimbo ya hakeem 5 ft pasha inaitwa nakukunda chane mwenye nayo aitupie hapa jukwaani.
ok sawaipo nikumbushe jion...
Hapana sio huo mkuuAlbino fulani ft sugu, belle 9, Fa-nafasi
Hii hapa.Enjoywadau natafuta nyimbo ya hakeem 5 ft pasha inaitwa nakukunda chane mwenye nayo aitupie hapa jukwaani.
Hizi nyimbo ziko version mbili tofauti?ha
Hapana sio huo mkuu
Write your reply...Natafuta wimbo wa Jay Z Unaitwa WAITING FOR YOU
nadhan iko moja.ila nnayoizungumzia mimi sugu amechana na kuna sehemu kibwagizo chake anasema 'nataka nafasi,,nipeni nafasi halafu anamsifia raisi mkapa' jina la wimbo sikumbuki ila nadhani itakua kwenye aalbum yake ya mwisho kutoa kama sikoseiHizi nyimbo ziko version mbili tofauti?
mimi natafuta ule wimbo unaotumika na akina Mrisho Ngasa wakati wanaposhangiliaga wakifunga bao.Yani kuna kama kawimbo fulani wanakaiga kwenye style ya kujiangusha Looooh wahts amazing cryze song.I like it.Huu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
View attachment 628965