Kiinua Mgongo
Member
- Sep 25, 2018
- 10
- 7
"Niwe nawe penzi lako la thamani lenye wingi wa nahau " baadhi ya mistari kwenye huo wimboNdio hii inasema "Nataka niwe nawe mpenzi wangu kila siku. Nataka nikuone mpenzi wangu hata usiku. Lakini tatizo sikuoni weewe. Lakini tatizo huonekani weewe... "
Ndio huo au...?
Sent using Jamii Forums mobile app