Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
NAOMBA WIMBO WA WANDAVA CLICK FT INSPECTOR HAROUN
UTAPENDA WANGAPI?
NA KIGHETO GHETO ORIGINAL VERSION YA JUMA NATURE NA KING SAPETO.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ule wa mzee mchana usiku kijana

"ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ ᵗᵒ ᵏⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ"
 
Habar za saa wakuu.

Naomba hii ngoma yenye mistari hii
"Najiuliza hili swali sipati jibu kamili
Waliongea wabongo kimombo kiswahili"


Dude litakuwa linaitwa kimombo kiswahili
Ni la kitambo kidogo.

Shukran.

Gwankaja
Kioo
Idimi
Na woteeee.
Goma linaitwa Swanglish. Wakilisha hao (Rip Langa, Sarah[Shaa] na Witness)

"ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ ᵗᵒ ᵏⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ"
 
Hivi ni Shaa au Sarah mkuu...?
Ndio huyo huyo zamani Sarah sahv anajulikana kama Shaa

"ᵀʰᵉ ᶠⁱʳˢᵗ ʳᵘˡᵉ ᵒᶠ ʷᵃʳ ᵃⁿᵈ ᵇᵘˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱˢ ᵗᵒ ᵏⁿᵒʷ ʸᵒᵘʳ ᵉⁿᵉᵐʸ"
 
Sina hakika kama Shaa aliwahi kuwa Wakilisha my dear.
Shaa,Witness Na Langa,,ndio waanzilishi wa Wakilishi bro,,muungano wa majina yao ndio yalitengeneza WAKILISHA=WA ilisimama kama Witness,,KILI=Kileo(Langa Kileo),,SHA=Sarah...

Utaona baada ya Shaa kujitoa,,Wakilisha ilibadirika jina na kuitwa WAKILI,,,SHA iliondoka na Sarah.
 
Habar za saa wakuu.

Naomba hii ngoma yenye mistari hii
"Najiuliza hili swali sipati jibu kamili
Waliongea wabongo kimombo kiswahili"


Dude litakuwa linaitwa kimombo kiswahili
Ni la kitambo kidogo.

Shukran.

Gwankaja
Kioo
Idimi
Na woteeee.
Ni wimbo wa Wakilisha Stars (Langa, Shaa na Witness). Kwangu sina, nadhani KIOO anao. Ulitamba sana miaka hio
 
Shaa,Witness Na Langa,,ndio waanzilishi wa Wakilishi bro,,muungano wa majina yao ndio yalitengeneza WAKILISHA=WA ilisimama kama Witness,,KILI=Kileo(Langa Kileo),,SHA=Sarah...

Utaona baada ya Shaa kujitoa,,Wakilisha ilibadirika jina na kuitwa WAKILI,,,SHA iliondoka na Sarah.
Habari za asubuhi [emoji42][emoji42]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina hakika kama Shaa aliwahi kuwa Wakilisha my dear.
Yap. Alikuwa wakilisha Stars, lilikuwa ni shindano la kusaka vipaji, lililodhaminiwa na Cocacola. Ndimo alimotoka marehemu Langa Kileo na Witness Mwaijega (WITNESS)
 
Niseme tu huu uzi unaishi na umenifaa sana Ahsante Secret Star kuuanzisha. Imenibidi kuanza nao tangu mwanzo na hakika nimepata madini yanayonikumbusha enzi hizo... Idimi gwankaja KIOO na wengineo wote... Niseme tu nashukuru kwa mara nyingine.

Mwenye nyimbo zifuatazo tafadhali;

1. Univesity Corner - Usinicheke
2. Wateule - Nipende Nichukie
3. James Dandu - Mamou rmx alioimba na Madilu System nadhani
4. Nataka niseme mi, aah kidogo tu brrr ssss aahh kidogo tu (nimesahau walioimba)
 
Nikushukuru kwa niaba ya wenzangu ulio watag. Sharing is caring. Huo namba 4 umeimbwa na Neck Breakers. Upo hapo juu. Angalia kuanzia page ya 140
Niseme tu huu uzi unaishi na umenifaa sana Ahsante Secret Star kuuanzisha. Imenibidi kuanza nao tangu mwanzo na hakika nimepata madini yanayonikumbusha enzi hizo... Idimi gwankaja KIOO na wengineo wote... Niseme tu nashukuru kwa mara nyingine.

Mwenye nyimbo zifuatazo tafadhali;

1. Univesity Corner - Usinicheke
2. Wateule - Nipende Nichukie
3. James Dandu - Mamou rmx alioimba na Madilu System nadhani
4. Nataka niseme mi, aah kidogo tu brrr ssss aahh kidogo tu (nimesahau walioimba)

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Niseme tu huu uzi unaishi na umenifaa sana Ahsante Secret Star kuuanzisha. Imenibidi kuanza nao tangu mwanzo na hakika nimepata madini yanayonikumbusha enzi hizo... Idimi gwankaja KIOO na wengineo wote... Niseme tu nashukuru kwa mara nyingine.

Mwenye nyimbo zifuatazo tafadhali;

1. Univesity Corner - Usinicheke
2. Wateule - Nipende Nichukie
3. James Dandu - Mamou rmx alioimba na Madilu System nadhani
4. Nataka niseme mi, aah kidogo tu brrr ssss aahh kidogo tu (nimesahau walioimba)

Usjali mkuu tuko pamoja sana bro.

Thanks a lot.
 

Attachments

Back
Top Bottom