Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Wakuu! Natumaini mu wazima

Nina shida na kwaito "Zilizotamba bongo" kwenye sherehe na tafrija mbalimbali tangu miaka ya 2014! Kwa bahati mbaya sijui majina ya nyimbo wala wasanii.

Nimefanikiwa kupata ngoma moja tu "Ndifuna wena"

Naomba nisaidiwe majina ya hizo Kwaito/artist

Kumbuka: Zilizosumbua Bongo hivi karibuni
 
Wakuu! Natumaini mu wazima

Nina shida na kwaito "Zilizotamba bongo" kwenye sherehe na tafrija mbalimbali tangu miaka ya 2014! Kwa bahati mbaya sijui majina ya nyimbo wala wasanii.

Nimefanikiwa kupata ngoma moja tu "Ndifuna wena"

Naomba nisaidiwe majina ya hizo Kwaito/artist

Kumbuka: Zilizosumbua Bongo hivi karibuni
 
Wakuu! Natumaini mu wazima

Nina shida na kwaito "Zilizotamba bongo" kwenye sherehe na tafrija mbalimbali tangu miaka ya 2014! Kwa bahati mbaya sijui majina ya nyimbo wala wasanii.

Nimefanikiwa kupata ngoma moja tu "Ndifuna wena"

Naomba nisaidiwe majina ya hizo Kwaito/artist

Kumbuka: Zilizosumbua Bongo hivi karibuni
Arthur _Zombo
 
Wakuu kuna nyimbo inaimba "nashangaa maneno yako umekuwa kigeugeu,chini tumelala,njaa tumeshinda"

Mwenye nayo tafadhali au jina la msanii

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mdau aliuomba huu wimbo.
 
Wadau natafuta wimbo ambao msanii simjui jina ila jina la wimbo nahisi ni kampa kampa tena,Huu wimbo ulitengenezewa hadi tangazo na Airtel lile la"Airtel kanipa tena GB sijui nini nini..."..Pia ule wimbo OG verse ya kwanzamwanzo anaimba"Jamani mama yenu ananimalizaga../
Anawazidi hadi ma'pusha akinyogaga..//
Akichezea pen hadi namaliza wino..//
Anapenda muhogo utafikiri bwana kilimo..//",,wadau mwenye kujua jina la msanii na unapatikana Wapi mtandaoni anisaidie naukubali sana...Asanteni.
Ninao
 
Wakuu kwema

Naomba nyimbo zifuatazo either majina ya mwimbaji au jina la wimbo

"Kama dada wanipenda, kaninunulie zeze nikilala kitandani, zeze lanibembeleza. Aaah amina choma choma kubaya, choma choma mmeo"

Nyingine inaimbwa "nina mdodo wangu eeee...
Naangusha moja moja leo...
Inama inuka ooo....
Naangusha moja moja leo"
 
Kwa wasikilizaji wa Radio free africa kipindi hicho kila jumapili kulikuwaga na kipindi kinaitwa Indian style

Kuna wimbo ulikuwa ukitumika background, nimeattach namna ulivyokuwa ukiimbwa tafadhali anayejua jina la wimbo au mwenye nao naomba.

Natanguliza shukrani
 

Attachments

Wakuu kwema

Naomba nyimbo zifuatazo either majina ya mwimbaji au jina la wimbo

"Kama dada wanipenda, kaninunulie zeze nikilala kitandani, zeze lanibembeleza. Aaah amina choma choma kubaya, choma choma mmeo"

Nyingine inaimbwa "nina mdodo wangu eeee...
Naangusha moja moja leo...
Inama inuka ooo....
Naangusha moja moja leo"
Twanga pepeta_password
 
wakuu
natafuta wimbo wa zilioendwa jina la wimbo na bendi
unaimbwa hivi
mama nipe nauli nikamtafute monica amekimbilia zambia na madeni ya watu
kisa cha kukimbia madeni yamemzidi doti 10 za kanga alizokopa hajalipa
 

Nisaidieni kuijua hii nyimbo anayocheza huyu mzee
 
Back
Top Bottom