Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoma inaitwa dont play, ilitoka miaka ya 2008 hivi, nakumbuka tune yake ila sijawahi kuupata
Da umenikumbusha mbali Sana huu wimbo nilikuaga naupenda kinyima aisee ukiupata nipe piaAisee natafuta ngoma moja ya Snare yule alikuwaga kwenye kundi la East coast team... unaimbwa "Kwenye game jinsi inavyokuwa... kuwa na umakini mambo mengi yanatokea! Niite Snaareee mashit! Yanaendelea... haina noma kwenye game mi nasogea!..." tafadhali anaejua nitaipata vipi anisaidie tafadhali inanikumbushaga mbali sana. Zamani ndo kulikuwa na nyimbo, yaani Ukisikiliza ujumbe, mpangilio, mashairi na hata watu walivyovaa unaburudika! Ingawa tulikuwa bado sana kwenye videos. Those days was good!
@Mtu mpole ,,,samahani,nicheki inbox,,,nafungua yako haifunguki.
Dahh! Hata jina siujui kamanda... ila ile ngoma ilikuwa na beat moja kali sana imetulia na naipenda sana mpaka kesho!Da umenikumbusha mbali Sana huu wimbo nilikuaga naupenda kinyima aisee ukiupata nipe pia
Ninazo kibaoNitafutie wimbo wowote wa mubaka mwishehe vidmate!.... Nina vocha ya 5k kwako ukifanikisha hilo
Unaitwa penzi kizungumkutikuna ngoma moja ya msondo ngoma naitafuta sanaa.. ipo hivi " Mapenzi yamegawanyika katika sehemu kuu mbili ninavojua mimiii.. sehemu ya kwanza ni faraja vicheko pamoja na... utadhani duniahii ndugu yote ni yako" Walamsishangaeee..... " Jama Jamaa Nauombeni sana aisee..
kuna ngoma moja ya msondo ngoma naitafuta sanaa.. ipo hivi " Mapenzi yamegawanyika katika sehemu kuu mbili ninavojua mimiii.. sehemu ya kwanza ni faraja vicheko pamoja na... utadhani duniahii ndugu yote ni yako" Walamsishangaeee..... " Jama Jamaa Nauombeni sana aisee..
Nahisi unawasemea obession hawa ni wa Uganda huo wimbo unaitwa Jangu… check YouTubeKuna ngoma flani naitafuta bila mafanikio
*ngoma imeimbwa na masister flani nadhani ni wa west africa
*ngoma ni ya vibe na inapigwa sana club
*video yake wale madem wanacheza san style kmma ya gwala gwala
kionjo chake kabla ya beat lao kali linasikika ""alee alee eeeh ale ale aaah" alaf beat [emoji119]
ndugu umeupata...???nautafuta wimbo(instrument) ile zamani ilikuwa inapigwa Radio One saa 4 usiku kionjo cha kipindi cha chombeza time, mwenye jina la wimbo huo au msanii aliyepiga wimbo huo tafadhali tutajie