Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna wimbo wa injili wa wale mabinti wanaitwa J Sisters unaitwa "achilia roho wako" nautafuta bila mafanikio, maana hata kwenye YouTube yao haupo.
 
Kuna wimbo mmoja nliuskia unapigwa ea radio juzi jpili uyo alieimba ameimba kwa lafudhi ya kichaga yaan kama anaongea hz af biti afu anaelezea kuwa kuna siku walikua wamelewa yaan anelezea mambo ya uko rombo rombo sjui arusha ni ngoma flani ya taratiiibu hv
 
Kuna mwana hip hop mbongo anafloo kama za Rado.Ngoma ni ya kitambo sana na video yake alitolea kwenye jumba ambalo alijakamilika(Pagara).
Ndani ya wimbo kuna maneno haya"KWA NINI NISHEREHEKEE SIKU YA KUZALIWA WAKATI WALIONIZAA HAWAPO?".

Nauomba.Asante.
Kama hujaupata sema nikupe haraka...
 
Kuna mwana hip hop mbongo anafloo kama za Rado.Ngoma ni ya kitambo sana na video yake alitolea kwenye jumba ambalo alijakamilika(Pagara).
Ndani ya wimbo kuna maneno haya"KWA NINI NISHEREHEKEE SIKU YA KUZALIWA WAKATI WALIONIZAA HAWAPO?".

Nauomba.Asante.
Basi sijaona kama umeupata, Unaitwa MI NTAWEZA nita u upload baadae siku ikiisha.
 
Naomba hii...nipende hivi nilivyo mi msela...Tundaman kama sikosei
 
Naomba wimbo EKIBINDANKOI, ule wa miaka ya 90-2000, unamchanganyiko wa maneno ya kiswahili na kikongo nadhani. Mojawapo ni EEE MWANA MIAE MWANA KALETA MUZIKI MWANA MIAE, nautafuta sana
 
Kuna wimbo mmoja nliuskia unapigwa ea radio juzi jpili uyo alieimba ameimba kwa lafudhi ya kichaga yaan kama anaongea hz af biti afu anaelezea kuwa kuna siku walikua wamelewa yaan anelezea mambo ya uko rombo rombo sjui arusha ni ngoma flani ya taratiiibu hv
Sio Fred Saganda kweli,ila jina la wimbo sikumbuki
 
Back
Top Bottom