Ndombe Mubele
JF-Expert Member
- May 19, 2019
- 242
- 529
Kuna Wimbo wa Congo Nahisi Ndio Wameimba Ulikua unatumika kwenye kipind Cha Alasiri Pale Radio One Anaeufahamu Tafadhali nimeutafuta Sana Sijaupata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda YouTube search Alicom - SelinaNatafuta wimbo wa alikom nahisi, kuna verse inasema " chonde chonde mpenzi, kxangu uko peke yako" afu sauti ya mwanamke inajibu " na husiofu uko na mie" ?
Hapana sio selina, huo alitoa baada ya selinaNenda YouTube search Alicom - Selina
OkHapana sio selina, huo alitoa baada ya selina
Mi mwenyewe nimeutafuta sana bila mafanikioMimi natafuta wimbo wa kimondo sound kama sijakosea jina la wimbo ni nelly kama sijakosea nausikiaga redioni wimbo wa kitambo
NinaoNatafuta wimbo wa alikom nahisi, kuna verse inasema " chonde chonde mpenzi, kxangu uko peke yako" afu sauti ya mwanamke inajibu " na husiofu uko na mie" ?
Wimbo unaitwa Maisha ya Mjini ameimba mwanadada V2 ft Mzee Chuchu."maisha ya mjini wanasema ni ujanja, ukishuka kwenye meli wanakuita mshamba, ukishuka kwenye treni wanakuita wakuja, ukishuka kwenye basi wanakuita mshamba na ukishuka kwenye ndege wanakuita kibopaaa " hicho ni kiitikio Cha wimbo mmoja ulitoka miaka ya 2001, 2002, 2003 jamaa alienda mjini kutafuta kazi akawa anashangazwa na tabia za mjini wakawa wanamuona mshamba..anaimba kwa huruma.. mwenye ku ufahamu huu wimbo anisaidie tafadhalini wadau nimeumiss sana, wadau mwenye kufahamu huu wimbo anisaidie tafadhalini ndugu zangu.
Wimbo ni wa Nuruely unaitwa Chonde ChondeNatafuta wimbo wa alikom nahisi, kuna verse inasema " chonde chonde mpenzi, kxangu uko peke yako" afu sauti ya mwanamke inajibu " na husiofu uko na mie" ?
Hii.Natafuta wimbo wa alikom nahisi, kuna verse inasema " chonde chonde mpenzi, kxangu uko peke yako" afu sauti ya mwanamke inajibu " na husiofu uko na mie" ?
Kaka nisaidie kama unao nautafuta ili ni download siupati kabisaWimbo unaitwa Maisha ya Mjini ameimba mwanadada V2 ft Mzee Chuchu.
triple jjj upo vizuri.Inaitwa sitaki ushambenga, itafute utaipata.
Pole kaka... ngoma hiyo enjoy !!Kaka nisaidie kama unao nautafuta ili ni download siupati kabisa
Hiyo [emoji116]Makumbele mwenye nao