KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Siku nyengine utalipia!Kuna wimbo nausaka sana wa kitambo kuna dada kaimba sikumbuki jina ila kuna hiki kionjo
View attachment 3241735
View: https://youtu.be/ViP87WipSm0?si=TVKG2TsMm-Wx8loD
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyengine utalipia!Kuna wimbo nausaka sana wa kitambo kuna dada kaimba sikumbuki jina ila kuna hiki kionjo
View attachment 3241735
Mkuu Kuna nyimbo na Mimi nazitafutaWakuu nifanyieni msaada wa nyimbo hizi:
1. Mpende akupendae -Tot akiwemo marehemu banza stone na waziri sonyo
2. Eda - hii ni taarab uliimbwa na kundi la Babloom kina Seif Kisauji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hiyoDeo mwanambilimbi feat banana zoro "siwezisema kwanini nliachana na yeye, mapenz yangu nae yalikua ya hadithi"
Kaka hiyo Ngoma kama unayo naomba nitumie ama kama una link ya hiyo nyimbo pia tafadhali naombaAbdul misambano na TOT band..." oooh kakaee usilie na mimi babaaa , mpenzi wako mimi sijamwita eeeh...kaona mambo wew huyawezi ndio kaja kwanguuu"
HII TUNAIPATAJE ??? MAAKE NIMEITAFUTA MPAKA BASIIIAbdul misambano na TOT band..." oooh kakaee usilie na mimi babaaa , mpenzi wako mimi sijamwita eeeh...kaona mambo wew huyawezi ndio kaja kwanguuu"
Wa Abdul Misambano umeupata ???Hizi nyimbo nazitafuta sana.
1. Www.mapenzi abdul misambano akiwa na tam tam ikibidi nipate nyimbo zao zote walizoimba akiwemo sekedia
2. Picco mapenzi hamna tena
Hatimae nimeupata huo wimbo wa hamza kalala, unaitwa ngodoigwe.Huu wimbo naona watu hawanao, nami nautafuta sana
"Ooh ngai Ndaya ooh,
nayebi nkombo ya mbanda te,
ooh ya ngai Ndaya ooh,
libanda yango ya bombanda te aye eeh."
Mwenye huu wimbo nitashakuru akishare, jina nimeusahau
Naomba wimbo wa Sam wa ukweli Lonely pamoja na Manginja Juju.................
pwi...pwi..... pwipwipwi......pwi....pwiriiiiiiii X2Natafuta ile tune inayopigwa na brass band pindi Rais akiapisha mawaziri, mabalozi au viongozi wowote.
pia hupigwa sana kwenye sherehe na dhifa za kitaifa.
Kama kuna mdau ana nyimbo za Hongera wa michano mfano round ya pili,mashabiki na baadae apandishe hapa tafadhali..